Haaa pole sana Trigeminal, ukishaanza kubet ujue ushakua muathirika wa hiyo kitu kuacha ni ngumu sana yaani, ni sawa na bangi ikishakukolea kichwan hata uambiwe vipi huelew somo.... Ila wakati wako wa kupiga hela upo usichoke,, siku ukipiga utarudisha pesa yako yote, na utafurah... Mi leo...
Ukiwa na maseke utakua unapiga hela kila mara,, tatizo watu hawana maseke,, mi jana nimempiga mzungu supabets 2,653,000 niliweka zangu timu 8 tu kisha nikaweka mzigo wa 30,000.
Isipokua gazeti la Uhuru tu, hilo gazeni lina gundu silinunui tena, lakibinafsi sana, sijui kama wanauza magazeti tena wale, wataendelea kupata hasara kila Siku..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.