Recent content by fred makoi

  1. F

    Eti mwanaume hawezi kukaa wiki bila kufanya mapenzi?

    siyo kwamba awes fumilia ila ni fikra alizo jiwekea akilini mwake mwambie atafute mambo ya msingi ya kufannya na co kuwaza ku duu! mda wote. au uwa afanyi kazi ngumu nin
  2. F

    Onyo kwa vijana wa ACT Tanzania

    mdogo mdogo
  3. F

    Arusha- Baada ya kuzomewa Kinana wafanyabiashara waondolewe

    ukweli unauma yaani kinana kuambiwa ukweli anaumia kiasi hicho acha dawa imuingie. watu wanataka mabadiliko ya kweli. Arudishe baaahnaa!!! hii ni Aaaarushaa vunga chaliii.....
  4. F

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    daah! brid mask ni shegerei. namkubal sana leka ntu& mkidan pamoja na chief kimura ukimtupia apo na sunji. penda sana iyo drama sijaona mfano wake
  5. F

    Lowassa kuitisha mkutano na waandishi wa habari leo

    epsod ya ngapi hii!!!
  6. F

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    imebaki gwajima aweke bend ya taarab kanizani kwake. mwendo mipasho tu.
  7. F

    SIRI NZITO Vita ya Urais: Lowassa na Membe Kuvurugana... Hatari ya CCM Kumeguka!

    waache wapigane wenyewe kwa wenyewe afu mwisho wa move wapinzani wanatinga magogoni kiulainiii
  8. F

    ACT Tanzania ni kama CCJ, nampa Zitto wiki mbili tu!

    kujiunga ACT ni sawa na kucheza mduara uku inapigwa hip hop
  9. F

    Kinana afunika Arusha, akagua Ujenzi wa Barabara ya Sombetini- Njiro

    kifo cha nyani miti yote uteresa ...
Back
Top Bottom