Ni wimbo mzuri,ila naona historia ya Afrika imepotoshwa pale wimbo unaposema "Mandela ni mkombozi wa Afrika". Inajulikana wazi kabisa wakombozi wa Afrika ni kina Kwame Nkurumah, Mwalimu Nyerere, na Mandela ni uzao wa harakati za hawa watu.
RIP Nasra!hukustahili kupitia hayo mateso!vyombo vya sheria vichukue mkondo wake,waliokutesa watakabili kosa la mauaji!!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Habari ya kusikitisha sana!ni vema kwa wana jf walioko moro kufuatilia maendeleo ya afya ya huyu malaika,na kuangalia namna ambavyo wana jf wanaweza toa misaada yao ya kifedha!ni imani yangu malaika huyu atarudia afya yake njema.Hospitali ya ccbrt wana utaalamu wa kunyosha viungo,ni vyema kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.