ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
yaani mwisho wanaombwa wasamaria wema watoe msaada,wakati baba mtu yupo na ni mtumishi?miaka yote anatoa hela hajui mtoto anaendeleaje?Hivi nani katuroga?tunataka sympathy kwa ujinga wetu.Pole mtoto