Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,335
- 3,652
I can feel the pain that goes with your words Nyani Ngabu.Kwa kweli unyanyasaji wa watoto huwa unaniumiza sana.
Ni moja ya mambo ambayo huniharibia kabisa siku yangu.
I can feel the pain that goes with your words Nyani Ngabu.Kwa kweli unyanyasaji wa watoto huwa unaniumiza sana.
Ni moja ya mambo ambayo huniharibia kabisa siku yangu.
Naunga Hoja Mkono 100%
Binadamu wakati mwingine wana roho mbaya zaidi ya mnyama........it is so painful kwa kweli. Inasemekana mtoto mwenyewe amefariki.
InasikitishaYaani mtuhumiwa namba moja hapo ni baba wa mtoto. Miaka minne hajawahi kumwona mwanawe kweli? Mbona mtoto amemtambua kama yeye ndiye baba!!, yeye yupo Morogoro mtoto yupo Morogoro, eti anatuma pesa tu za matumizi kwa mama Mkubwa wa Mtoto!
Inamaana hajiulizi Mtoto anakwenda clinic au la? Mtoto anafikisha miaka minne hakuwa hata na wazo la kumpeleka japo chekechea jamani?
Huyu baba ni muuaji, labda alimtoa kafara mwanawe, haiwezekani kabisa yaani.