Recent content by FrankJ

  1. F

    Huku uswahilini kwetu

    Ngoja nianze mikakati ya kumpindua asigwa, huyo shemeji hanipishida sana, asigwa akishatoweka automatically unapata shemeji mpya au siyo? Ntafanya Mchumba awe Mchumba wangu.
  2. F

    Msaada wa kuanzisha biashara

    Nunua Bodaboda
  3. F

    Nani yuko macho tupige stori?

    Ingawa sio shosti ila wote tupooooooooooo, Lete story bibie
  4. F

    Nani Mwenye Haki?

    Mgeni ndio mwenye haki, Mimi ndio nimefungua kizibo, Je kama watoto wako wangekunywa bila kufungua kisoda? Mlengwa wa faida hapa ni mimi. Soda ni zawadi kwa mimi kupoteza muda wangu kuja kukujulia hali. Zawadi inapokuja na Bonus ntakurudishiaje? Alafu nani anayesema Maji yangu kizibo chako...
  5. F

    Mwanaume asiye chagua Sura wala Umbo Nipo Hapa

    Nimerudi ndugu zangu kwa furaha kubwa naweza sema nimepata mwenza toka JF humu. Kwa sasa tunachat tu ila bado hatujaonana ingawa yeye kaiona picha yangu tayari na ameridhika. Mimi bado sijaiona picha yake na anadai kwamba kwa kuwa nimesema sichagui chochote hawezi nitumia hivyo nasubiria...
  6. F

    Mwanaume asiye chagua Sura wala Umbo Nipo Hapa

    Kama kitabia haupo fresh hunifai ndio naangalia zaidi tabia na sio shape na sura. Kama tabia yako njema nitafute kwenye PM.
  7. F

    Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

    Kama umeshafanikiwa ni vizuri ukasema usiendelee kusumbuliwa.
  8. F

    Mwanaume asiye chagua Sura wala Umbo Nipo Hapa

    Natafuta Mke wa kuoa. Mimi sichagui umri wala umbo wala sura. Natafuta mke wa kuoa. Ukitaka kujua Wasifu wangu ni PM ntakutumia hadi picha. Nipo serious sana kwa hili. Naimani mke wangu wa kufa na kuzikana, yaani wa maisha yupo humu. Sasa basi mke mtarajiwa njoo ukutanishwe na mimi kama...
  9. F

    Msaada wa Kazi Nisaidieni Jamani.

    Habari za Kazi ndugu zanguni. Mimi ni Kijana mwenye miaka 20, ninajitegemea na ni mwaminifu sana pia nina wadhamini. Natafuta kazi yeyote ile ambayo ipo au niseme imebakia kokote hapa Dar-Es-Salaam. Ninaweza kubeba mizigo au kazi yeyote ile ambayo wewe kama muajiri yangu utaona inanifaa sichagui...
Back
Top Bottom