Mgeni ndio mwenye haki, Mimi ndio nimefungua kizibo, Je kama watoto wako wangekunywa bila kufungua kisoda? Mlengwa wa faida hapa ni mimi. Soda ni zawadi kwa mimi kupoteza muda wangu kuja kukujulia hali. Zawadi inapokuja na Bonus ntakurudishiaje?
Alafu nani anayesema Maji yangu kizibo chako...
Nimerudi ndugu zangu kwa furaha kubwa naweza sema nimepata mwenza toka JF humu. Kwa sasa tunachat tu ila bado hatujaonana ingawa yeye kaiona picha yangu tayari na ameridhika. Mimi bado sijaiona picha yake na anadai kwamba kwa kuwa nimesema sichagui chochote hawezi nitumia hivyo nasubiria...
Natafuta Mke wa kuoa. Mimi sichagui umri wala umbo wala sura. Natafuta mke wa kuoa. Ukitaka kujua Wasifu wangu ni PM ntakutumia hadi picha. Nipo serious sana kwa hili. Naimani mke wangu wa kufa na kuzikana, yaani wa maisha yupo humu. Sasa basi mke mtarajiwa njoo ukutanishwe na mimi kama...
Habari za Kazi ndugu zanguni. Mimi ni Kijana mwenye miaka 20, ninajitegemea na ni mwaminifu sana pia nina wadhamini. Natafuta kazi yeyote ile ambayo ipo au niseme imebakia kokote hapa Dar-Es-Salaam. Ninaweza kubeba mizigo au kazi yeyote ile ambayo wewe kama muajiri yangu utaona inanifaa sichagui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.