Recent content by FRANK UNDERWOOD

  1. F

    Rais Magufuli, waagize TAKUKURU waimulike Maxmalipo na waliopo nyuma ya kampuni hii

    Unataka Juma Rajabu na Hashim Lema wamulikwe na Takukuru kwa lipi hasa? acheni chuki nyie watu
  2. F

    Mabalozi Ulaya na Canada walioko Tanzania waisaidie Uingereza kumaliza tatizo la Ireland

    1. Hivi sasa hakuna matatizo huyo Northern Ireland kwani walimaliza tofauti zao mwaka 1998 kwenye Good Friday Agreement ambayo ilisainiwa Belfast, huko Ireland ya Kaskazini. 2. Wanaserikali yao na wanaendela na shughuli zao kama kawaida na vyama vyote hushiriki kwenye shughuli za bunge etc 3...
  3. F

    Waziri Charles Kitwanga & Vicky Kamata wanahusika kwenye ufisadi wa kulipwa BOT kwa miaka 6

    Kitwanga anadai kuwa bila yeye Magufuli asingekuwa Mbunge in other words our commander in Chief is in the pockets za hawa ma cronies na wana mheld hostage Kuwatimua hawezi, kuwafunga hawezi, kuwafilisi hawezi, kuwataja hawezi kaishia kutuomba tumwombee kwa Mungu. Sie wengine hatuamini mungu...
  4. F

    Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

    endelea kumtetea mtu wako
  5. F

    Waziri Charles Kitwanga & Vicky Kamata wanahusika kwenye ufisadi wa kulipwa BOT kwa miaka 6

    unajua enzi za JK ulikuwa unajua nothing will happen Huyu Magu inaelekea hakuwafanya au hakufanyiwa vetting hawa watu wake
  6. F

    Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

    Bila kusahau kuwa amekuwa akilipwa huko BOT kwa miaka 6 mfululizo huyu ndio waziri wa mambo ya ndani
  7. F

    Waziri Charles Kitwanga & Vicky Kamata wanahusika kwenye ufisadi wa kulipwa BOT kwa miaka 6

    Im seriously having doubts on this magufuli administration
  8. F

    Uteuzi wa Raia wa Uganda kuongoza NSSF: Ombeni Sefue, Eric Shitindi & Jenista Mhagama wajiuzulu

    Huyu Charles Kitwanga naye ni miongoni mwa waliokuwa wakilipwa BOT bila kufanya kazi yoyote ile Halafu huyu ndio waziri wa mambo ya ndani Hivi magufuli alifanya vettting ya hawa jamaa lini?
  9. F

    Waziri Charles Kitwanga & Vicky Kamata wanahusika kwenye ufisadi wa kulipwa BOT kwa miaka 6

    Najiuliza sasa ataweza kusafisha nyumba yake mwenyewe au atawatazama tuuu?
  10. F

    TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

    Dah kama hii ni kweli bas naanza kumwamini Rais Mkapa...
  11. F

    Waziri Charles Kitwanga & Vicky Kamata wanahusika kwenye ufisadi wa kulipwa BOT kwa miaka 6

    Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga. Ambaye amekuwa akilipwa BOT kwa miaka zaidi ya 6 bila kufanya kazi yoyote ile. Tusisahau kuwa ndiye waziri ambaye kazi yake ni nyeti sana lakini pia yumo kweli listi ya Magufuli ya BOT. Huyu anasema ni ndugu yake Mhehsimiwa Rais Mgufuli hivyo yeye ni...
  12. F

    Moto Mabanga: The billionaire who 'fixed' Zitto Kabwe

    kuna mwenye picha ya huyu billionaire?
Back
Top Bottom