Unamtandika mtoto konzi ya maana, anaanza kulia kwa sauti unanunua biskuti unampatia, alaf unamuuliza, ni nani amekupiga, anamtaja mtu mwingine tofauti na wewe...hivyo ndo rushwa ilianza Africa
Tubadilike jamanii
Kwanza kaka ubarikiwe maana unatufungua hata sisi wengine tunaodili na simu za aina moja kwa asilimia kubwa
Kwa mimi binafsi nafanya kote yani s/w na h/w. Ki ufupi vyote vinategmeana kwa asilimia kubwa maaana kuna point lazma utakwama mpka uhamie upande mwingine kikubwa ni ushirikiano...
Ndio vina hati charambe maeneo ya machinjioni hakujaagi maji jina lisikutishe na hizo namba ndio zangu mwenyewe muuzaji we nipigie tuu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tanga< kipo Kange kasera kina ukubwa wa mita 20 kwa 30
Dar es salaam< kipo mbagala charambe
Kwa maelzo zaidi piga namba
0784254337
0767254337
0716779327
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.