Anadhani atawanasa wajinga kirahisi hivi?nahc upo kazn
niuzie mkuu ni pmJamani kama kichwa cha habari kisemavyo ningependa kuendelea kutumia simu yangu Samsung Galaxy Note3 ilifungwa na tcra nasiki upo uwezekano wa kuifungua na kutumia tena
Ofcoz hapa umejiswagisha kinyama sana utakuwa my lolmodo wangu siku c nyingi maana hili pepeta tcra ni amazing mnoPepeta tcra
Hatari sana mkuuOfcoz hapa umejiswagisha kinyama sana utakuwa my lolmodo wangu siku c nyingi maana hili pepeta tcra ni amazing mno
Umetisha sana mzee baba naona kiswahili chetu kinaendelea kukua maana peleka limetoholewa tumepata neno pepeta na zote zina maana moja shkamoo tzHatari sana mkuu![]()
mmm! una hamu ya kufungwa na TCRAMm naweza kisaidia kama upo tayar ni pm nikupe maujanja kidogo
Hahahaha umeshitukia sio hahahaAnadhani atawanasa wajinga kirahisi hivi?