TWAWEZA maoni mmeyatoa wapi wakati huku mtaani kila tunachosema ni uchochezi? au ni maon ya kifamilia ? mimi siamin coz uhuru wa habar unaminywa.. inafikia mtu anaomba malaika aje afunge mitandao? ili tusipate habar kwa mimi hapan
Namimi leo nichangie kutoa maoni ndege yetu japo sijui hata aina moja ya Ndege na wala sijawahi kupanda wala sina ndoto; nimezoea #SAIBABA, MACHINGA, SHABIBI na UDAA
Canada ======== Juventus
Bombadier ===== Pogba
Kwa Hiyo Canada mmetuuzia ndege #POGBA, Sawa Mungu anawaona lakini #TEAMTWAWEZAHAPA
wote naona ni wamama wa mjini,wasaka noti bila kazi.af neno zaid ya mia mbili mbona halina maana hapo coz kweny picha hakuna kitu hicho.au wengine waliambiwa wakae pembeni wakatipicha inapigwa?
UNATAFUTA KIKI KIJANA.. Uwe na matokeo haya mpaka sasa bila kufanya koz yeyote ni jambo la kushangaza. hiv muda wote ulikuwa wapi? kama ulijisahau hata ndugu na wazazi wako walijisahau ? maana umechelewa kote, advance na hata vyuo vya nacte.. sasa kujisahau kwa namna hii utakuja pata madhara...
Naomba kupewa ufafanuzi kuhusu kozi hiz Mediacal Officer na Clinical Officer. kozi ipi inafuture mzuri kwa maana unaweza kuanza nayo kwa ngazi ya diploma mpanga ngazi ya juu zaid, kazi za kila mmoja,na vigezo vya kusoma hizi kozi, kwa watu ambao hatukusoma physics ila tulisoma Engineering...
Hii ndio siasa tunayoitaka.siasa ni kuzungumza mi naamin mtafikia makubaliano na mkaboresha maisha ya watz coz wote tunajenga nyumba moja hakuna haja ya kunyang'anyana fito.....najua simbilisi watanunua sana.
Mwalimu Nyerere ni nembo ya TAIFA sio MUNGU, kama alikosea lazima yawekwe wazi.. sasa unataka kutuaminisha kwamba mwl HAKUKOSEA JAMBO LOLOTE kipindi cha utawala wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.