Recent content by frank ezras

  1. F

    PreGE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

    Hata mimi sikutegemea kama angeweza yote hayo tena Rais, mwanamke. Anaweza kuwa Rais wangu wa 3 au 2 kwa ubora wa kwanza Nyerere. Kutegemea na atakavyo maliza kipindi cha pili. Kinacho mharibia ni mwendokasi sijui haambiwi.
  2. F

    Ukosefu wa ajira ndio tatizo namba moja kwa vijana. Hakuna mwanasiasa mwenye suluhisho, tusidanganywe

    Kwa Tanzania hili tatizo lilipaswa kuwa dogo sn kwa sababu rasilimali tunazo nyingi. Turudishe vyama vya ushirika ,hivi ndio vinamjua kila mtu kijijini Nani kalima Nani hajalima Nani kavuna Nani mazao yamekauka na jua tumkopeshe kama ni uvuvi Nani nyavu zimechakaa Nani kavua samaki wengi, masoko...
  3. F

    Mamlaka ya uvuvi?

    Huku sio kuwaongezea mzigo walipa kodi? Bila shaaka tunahitaji sera zitakazo wajengea uwezo (empowerment) wavuvi serious tulionao badala ya mamlaka. Agency haivui samaki kwani serikali ilishajitoa kwenye biashara. Kama tatizo ni mfumo wa uzalishaji mali başı tuambiane ukweli kwamba tunaenda...
  4. F

    Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Ndugu kimya wa Mungu hata anapokuwa challenged kama hivi pia ni ishara ya ukamilifu wake. Moja ya şifa kuu za Mungu upendo huu ndio unao mponza kwangu angeweza kutuumba kama robot tukafanya kıla kitu anachotaka yeye kama unavyosema lon hakutaka. Angeweza pia kumuamgamiza lucifer kanla hajaleta...
  5. F

    Kweli biashara ya ndege ngumu, Kenya Airways na ukubwa wote wamechemka. Ruto kuiuza kwa Wamarekani. ATCL vipi?

    Naunga mkono serikali haiwezi kufanya biashara. Wapewe wananchi serious kama Bakhressa alivyopewa NMC mbona maisha yanaenda na hakuna kelele, watu waambie ukweli ujamaa umeshindikana. Cabin crews watashona uniforms Indonesia kwa per diem za serikali kesho sijui nini? .kuna shirika private...
  6. F

    CCM na wanaccm, nini kosa la Bashiru? Demokrasia kwenu ni nongwa?

    Hapa ndio nakumbuka alichosema Einstein kwamba akili ni kile kinachobaki ukitoa ulichofundishwa.
  7. F

    Kumbe siku hizi ukifanya udanyanyifu unalipwa fidia ndio maana yake au? Sijaelewa!

    Ndugu Hao wanaoitwa cheti feki wengine ni la 7 na wakati wanaajiriwa hawakuombwa cheti cha form 4, wengine ni kweli cheti cha form 4 ni cha nduguye lkn kasoma form 6 ,chuo,phd kwa akili zake na kazini alikuwa mfanyakazi bora kwa nini asilipwe jasho lake alilokatwa kwenye mshahara wake? Kwa...
  8. F

    Biswalo Mganga hana makosa. Plea bargaining ni kwa mujibu wa sheria. Hakuna pesa iliyoingia mfukoni kwa mtu. Zitto ni mpenda sifa za kijinga

    Zito ndio CAG? au zito ndio kamtuma CAG atoe taarifa ya uongo? Unajua ndio maana watanzania akili zetu zinahojiwa!
  9. F

    Bei ya Chakula Haijawahi kufikia hapa tangu Uhuru wa Tanganyika

    Waziri wa kilimo asimamie hili kama NFRA wameshindwa kuleta mzigo sokoni ili bei zisipande ni bora azuie mauzo nje kuliko wananchi kulala njaa.
  10. F

    Rais Samia, Dkt. Mpango na Majaliwa hawalipi kodi wala tozo yoyote hapa nchini

    Sio wao tu hata sisi hatustahili kulipa hizo kodi. Wasomi wetu ndio wanaotuangusha, wamekariri badala ya kujiongeza. Mara ya mwisho nikiwa Dubai kupiga simu za ndani ilikuwa bure, ndugu yangu akamwambia mpaka leo. Wanawezaje ni kwa sababu wanapata kodi ya kutosha kwenye vyanzo vikuu. Hawana haja...
  11. F

    Mungu ni muandaaji na muongozaji bora wa filamu za maisha yetu

    Sawa Mungu alimjua tangu tumboni, Vipi Samsoni ambaye mimba yake iliandaliwa kuwa mnadhiri wa Mungu na hata vyakula vya mjamzito vilipangwa na alipoishia, nakupa changamoto tu😁 Waamuzi 13:7 lakini aliniambia, Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanamume; basi sasa, usinywe divai wala...
  12. F

    Uandaaji wa filamu ya Royal Tour tumepigwa lakini uzinduzi wake tunapigwa zaidi!

    Uko ileje kweli au jina lako 2, shida ya watz ndo hiyo unawekeza leo halafu unataka faida mwaka huo huo, wengine tuna miaka 5 na bado tunaamini faida itakuja2. Kwa hiyo ulitaka waende huko kwa kodi ya nani? Nyumbani kwako kukiwa na njaa unajifungia au unatoka kuokoa jahazi. Poor iq
  13. F

    Tatizo la Humphrey Polepole ni kuamini alikuwa " the chosen one" na sasa ameathirika kisaikolojia

    Angeona kwanza kosa la watu kupotea,hili ndio kosa kubwa zaidi (watu kufa)
  14. F

    Sasa nimeamini kuwa wana CCM wa sasa ni kielelezo tosha cha tabia ya Unafiki iliyopo CCM na huenda hata kwa Watanzania wote

    Awataje wa kazi gani? kwanikutomkubali mtu ni kosa?, si ndio maana wamepiga kura? Kuwaunga mkono wengi walioshinda kwa kumpongeza ndio ukomavu wa demokrasia na wala sio unafiki
Back
Top Bottom