frank ezras
Member
- May 5, 2015
- 73
- 29
Huku sio kuwaongezea mzigo walipa kodi? Bila shaaka tunahitaji sera zitakazo wajengea uwezo (empowerment) wavuvi serious tulionao badala ya mamlaka. Agency haivui samaki kwani serikali ilishajitoa kwenye biashara.
Kama tatizo ni mfumo wa uzalishaji mali başı tuambiane ukweli kwamba tunaenda ubepari ili Waziri akiomba hela bungeni za kuwawezesha wavuvi wahamie kwenye uvuvi wa kisasa ili kuchangia GDP asishangae mtu.
Samaki wa Magufuli tuliogawa hadi mashuleni walivuliwa na vyombo vya kısasa sio mamlaka (agency). Maboresho katika sera na uwezeshaji yatatulipa kuliko mamlaka.
Wakati TR anahangaika na mashirika yasiyo na tija tuongeze agency nyingine ambayo hatujui ufanisi utakuwaje?🙏
Kama tatizo ni mfumo wa uzalishaji mali başı tuambiane ukweli kwamba tunaenda ubepari ili Waziri akiomba hela bungeni za kuwawezesha wavuvi wahamie kwenye uvuvi wa kisasa ili kuchangia GDP asishangae mtu.
Samaki wa Magufuli tuliogawa hadi mashuleni walivuliwa na vyombo vya kısasa sio mamlaka (agency). Maboresho katika sera na uwezeshaji yatatulipa kuliko mamlaka.
Wakati TR anahangaika na mashirika yasiyo na tija tuongeze agency nyingine ambayo hatujui ufanisi utakuwaje?🙏