Recent content by franck kamotta

  1. franck kamotta

    Nimepotea naona giza kwa hii anasa

    Bora ww mm pombe kaka tena kali
  2. franck kamotta

    Wosia wangu wa mwisho

    Ndugu unapitia wakati mgumu kama wangu nafkiria mawazo kama yako leo nina sku kama ya 4 sjara kitu zaidi ya maji na juisi pombe imekua kama mfariji hla nahsi ndo napotea zaidi kazni nimeacha kwenda na sku ya tano na kwa taratibu nahisi nimeshajifukuzisha
  3. franck kamotta

    Maeneo mazuri ya kuishi Morogoro

    Kama ana usafiri wake aishi mfuruni hama bigwa
  4. franck kamotta

    PreGE2025 Hizi pesa zinazotumika kuchafua chaguzi za CHADEMA, zimeingia kupitia "Mlangoni" au " Dirishani"

    Chadema mnarithisha siasa za kuriaria hv hamjui hli dude lipo tayari hata kumwaga damu hili kuwepo marakani hv hamna mbinu mbadala
  5. franck kamotta

    Kapteni Mabior Garang akiwa nje ya nyumba ya Mama yake huko Jebel Sudan Kusini

    Huyu jamaa kama katuni khaa hata kama ugumu so hvoo bhanaa
  6. franck kamotta

    JamiiForums Usiku wa manane

    Tupo macho
  7. franck kamotta

    Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

    Kataa ndoa ni utapeli ndoa ni kifungo ndoa ni jabari
  8. franck kamotta

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kunani???
Back
Top Bottom