Recent content by Francis mwaijulu

  1. Francis mwaijulu

    Social media blocked as Liberians protest 'corruption and creeping dictatorship'

    Write your reply...alinde heshima yake aachie ngazi
  2. Francis mwaijulu

    Tunaitoaje CCM madarakani?

    Write your reply... kuna kitu ambacho watanzania wengi hawakijui. Ni kwamba ukisha sema nchi ni ya kidemokrasia ina maana nchi iko mikononi mwa wananchi, wananchi ndio wamiliki wa nchi na ndio wenye maamuzi ya mwisho, wananchi ndio wamiliki wa ngazi zote za uongozi, kwasababu tunaposema wananchi...
  3. Francis mwaijulu

    Marekani kutumia mbinu za kibabe ni chanzo cha kuvunjika maongezi na korea ya kaskazini.

    Write your reply... Kim anasoma historia na anajua kua historia ni mwalimu mzuri
  4. Francis mwaijulu

    Kigamboni: Askari Magereza wamuua Neema Dominic kwa risasi wakati wakimdhibiti raia aliyeachiwa huru na Mahakama

    Write your reply... bila shaka hata huyo aliekua analengwa na Hugo askari alikua hana hatia kwasababu mahakama ilishamuachia huru, kwahiyo askari ana cha kujibu mahakamani.
  5. Francis mwaijulu

    Maelfu ya raia waandamana Italia

    Write your reply... viongozi wanashindwa kukimbizana na wakati, wakati teknolojia inaongezeka ajira zinapungua na watu wanaongezeka, sasa hapo ndipo panapozuka songombingo la ajira
  6. Francis mwaijulu

    Video: Mawakili waishangaa Polisi kwa Lissu na dereva wake kutohojiwa; wadai wanaweza kuhojiwa hata kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano

    Write your repl in short, wasiojulikana walikua na mtazamo wa upande mmoja tu wa kuua, kwahiyo walichojiandaa nacho inawezekana ilikua ni kuhudhulia mazishi sababu walikua hawajulikani. dereva anadai alikuwepo mpaka siku ya ij'maa kwanini hakukamatwa ili ahojiwe? mwacheni mungu aitwe mungu...
  7. Francis mwaijulu

    Siku Muafrika alipoacha dini na Mungu wake ndipo shida ilipoanza?

    Write your reply... tumepotoka sana kwa kufuata njia za wazungu, Mimi binafsi ninaamini kua msingi wa maarifa ni elimu na msingi wa maendeleo ni maarifa. hivyo basi pamoja na elimu kuanzia afrika misri lakini bado elimu ilienezwa na wazungu, elimu iliotolewa na wakoloni ilikua ni kwajiri ya...
  8. Francis mwaijulu

    Rais wa Urusi asema Afrika ni makaburi ya matajiri

    Write your reply... China hawawezi kuongea lolote kuhusu afrika, China wanatamani waafrika wazidi kua na shida ili I we rahisi kuwaingia kwa kutumia nguvu ya pesa na teknolojia. mkihitaji miradi ya maendeleo wenyewe watatekeleza bila ya nyie kutoa hata shilingi halafu watawadai baadae...
  9. Francis mwaijulu

    Eddo Kumwembe: Zamani tulioishia darasa la saba tuliwaogopa Maprofesa, siku hizi hatuna cha kuwahofia...

    Write your reply... Hakuna kipindi ambacho wasomi waliwahi kudhalilika na kudharauliwa kama hiki, kuna misemo ina sema mke akitaka kujua tabia ya mume wake basi mume apate pesa, au mume akitaka kujua tabia ya mkewe mume afilisike.
  10. Francis mwaijulu

    Msajili: Vyama vya Siasa vinavyopinga muswada, vinapotosha na kufanya propaganda

    Write your reply... kinachoonekana hapa ni kwamba mtu ukiwa na mamlaka basi unajiona kua na akili kuliko wote unaowaongoza. majibu ya msajiri yanajidhilisha hivyo. huo mswada hakuna kilichojificha hata mbumbu anaelewa lengo la mswada, nani hajui sababu za kuzima bunge, nani hajui sababu za...
  11. Francis mwaijulu

    NAPE: CCM imevamiwa na wasakatonge, wenyewe tupo sana

    Write your reply... nape anadai ccm imevamiwa na wasaka tonge, hivi ccm ni link kilikosa wasaka tonge?
  12. Francis mwaijulu

    Ni matumizi gani tunabana?

    Write your reply... Watawala wetu hawapo kwajiri ya maslahi ya taifa, wapo kwajiri ya maslahi yao na chama chao. kwahiyo wamejenga falsafa ya lazima tuwe sisi, sasa hiyo ya lazima tuwe sisi hua ina misingi yake, misingi yake ni kukubarika na wananchi kwa kuwatendea yale yanataikiwa. unapoharibu...
  13. Francis mwaijulu

    PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

    Write your reply... hata kama ni fake news lakini ukweli uko pale pale. lazima tujitambue, tujue tunakosea wapi na namna pekee ya kujitambua ni kuambiwa ukweli
  14. Francis mwaijulu

    Serikali ya CCM inapojichanganya kiitikadi

    Write your reply... ni kweli, sababu msingi mkuu wa maendeleo ni rasilimali watu na mtaji ni maarifa yao, unaweza ukawa na rasilimali watu wasio na maarifa inakua ni kitu bure. nasema msingi wa maarifa ni elimu na msingi wa maendeleo ni maarifa. wakubwa wangeufanyia tathimini mfumo wetu wa elimu...
Back
Top Bottom