Recent content by francis mihiga

  1. F

    JamiiForums Tanzania Siri ya Magufuli kuogopa kuigusa IPTL ambayo inalipwa milioni 400 kwa siku na TANESCO

    Hahaha Richmond wataigusa wapi wakati muusika no 1 babu yao Lowassa
  2. F

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusu Pemba na Wapemba

    Wewe mtoa posti ni muongo wewe si mpemba wa hujawahi kuishi pemba labda unenda kutembea au kusoma historia katika vitabu sawa usidanganye watu hapa .mimi binafsi naishi unguja nimezaliwa mwaka 1958 .sehemu moja inaitwa kikwajuni bondeni .mtaa wa kwangwengwe .wale watu wa umri wangu wazaliwa wa...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Jamani Azam TV tuhurumieni kwa kutuachia Local Channels

    Sio kweli mimi mbona nazipata zote rekebisha antena usiwe mvivu umeshaambiwa wacha uvivu channel zote zipo
  4. F

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya MAFISADI na MAJIZI kuanza kazi rasmi hapo kesho tar 01.07.2016.

    Tuanze na lowasa kwanza ushauri tu
  5. F

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif: Dalili zinaonyesha Magufuli ni Dikteta

    Yeye huyo seif sio dicteta tujiulize hivi cuf hakuna mwenye uwezo wa kugombea urais Zanzibar Mbona wapo wengi mbona hawapishi wengine yeye akawa mzee wa chama tu asidanganye watu labda wasiomjua miaka 25 anagombeya yeye tu urais ukatibu mkuu hataki kuuachia hamadi Rshid alipomueleza ukweli...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Mvunjaji Sheria, Criminal ni Shein na Genge Lake na Sio Seif

    Ndugu bendee uliyoyasema ni kweli tu huyo aliyelalamika sana na kumtetea Seif inaonyesha ni mfata mkumbo tu uhalisia hamjui Seif Sharif kiundani au amezaliwa miaka ya 1990 .
  7. F

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Nilishinda urais lakini CCM wakaupora ushindi wangu na dunia nzima inajua

    Kama kweli kashinda mbona aleti data zake tulinganishe kama kweli ameshinda tulisha mwambia to a data zako tulinganishe mpaka leo hamna , mbowe kweli mjanja sana anazidi kumdanganya mzee Wa watu .
  8. F

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli alipaswa awe Malta leo hii!

    Huo ni uwongo mbona yuko vizuri katika kimombo
  9. F

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli alipaswa awe Malta leo hii!

    Mimi mbona namuamini hivi alipokuwa waziri Wa ujenzi wale walandarasi Wa kigeni alikuwa anakabiliana nao vipi wacheni chuku bnafsi mbona yuko vizuri tu anga hizo.
  10. F

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli alipaswa awe Malta leo hii!

    Wacheni upotosjaji wenu hivi munauhakika Mh Magufuli hajui kuongea kingereza au mnamsingizia tu
  11. F

    JamiiForums Tanzania Maandamo ya CUF mjini London, Waiomba Uingereza Isaidie mgogoro wa Zanzibar

    Huo ni upumbavu na ulofa kama mnayaweza njoo I huku Zanzibar sio kufanya zogo kwenye nchi za watu
  12. F

    JamiiForums Tanzania Zima moto za Magufuli na uhalisia

    Huyu mtoa post ni mpofu Wa akili kwanza uwezi kumpangia rais cha kufanya au aanze na ni hivi huoni ziara ya Mh rais muhumbili imeokoa watu hivi nani alikuwa anajua kama machine st can na mashine nyengine zilikuwa mbovu tena miezi miwili iliyopita na kufika kwake tu kumesaidia kujua ubovu huo na...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Lowassa kutoa tamko zito Jumamosi katika Ufunguzi wa Kampeni Jijini la Arusha

    Namhurumia lowassa hivi bado anadanganywa tu na wapiga dili uchaguzi umeisha Rais ni Magufuli hata ummoja Wa mataifa umemsapoti na katibu mkuu Wa ummoja mataifa amempongeza Rais Wa tano Tanzania Dr P Magufuli sasa huyu Mzee Wa watu hakuna jipya kwa sasa ajipange Mwaka 2020, tukijaaliwa
  14. F

    JamiiForums Tanzania John Magufuli kwa mujibu wa Salva Rweyemamu

    Huo ni uzushi usiokuwa na mashiko swala LA uuzaji Wa nyumba mbona summay alishalitolea ufafanuzi wake ,Magufuli alikuwa waziri tu haiwezekani aweze kutoa maamuzi makub
  15. F

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi kampuni ya malori ya AAA iliyomuua dereva wake wagawana mali njiani

    Ndugu zangu ndio maana tunasema siku zote tajiri hana urafiki na maskini hakuna tajiri anaemuonea huruma maskini yeye yupo kuwatumia kwa faida yake tu . maanake hata huyo lowassa wenu yule ni tajiri ni mnafiki anaposema anauchukia umaskini si kweli yeye anatska kukutumieni tu kwa malengo yake
Back
Top Bottom