Zima moto za Magufuli na uhalisia

Mtoa maada ni mpinga maendeleo 100%, ulitaka tinga tinga litinge home kwako? Suala la kuteuwa mawaziri kwanza ni fikra zako, hizo ziara alizofanya ni dira tosha kwa mawaziri atakao wateuwa kwamba lazima wawe kama yeye.
 
Uzi mreefu lakin umejaa chuki. Hyo ni mipango yake ambayo amejipangia ni wapi pakuanzia. Afya ndio muhim zaidi halafu bila fedha afya itaendeshwaje?

Kama nyie mnajifanya wajuaji wa haki na mambo muhimu mbona mmeshindwa kushaur mbowe juu ya ubabe anaoufanya ndan ya cdm? Acha kuizima nyota ya magufuli ndugu

umeonaeeeee hawa hawana jipya bali majungu kibao hata mtu afanye mema vipi kwao ni majungu tu. Wao wakae benchi hawana jipya

hapa ni kazi tu
 
Mkubwa.watu kama nyie huwa hamkosekani kwenye jamii.Leo unasema kufuta safari za nje ni zima moto.!!Angekaa bila kutembelea Muhimbili kuna watu tunandugu zetu wagogwa wangeendelea kuteseka.usipende kuandika eti kwa sababu ni gharama ndogo sana kuanzisha uzi JF.Tafadhali uwe unafikili unachoandika.
Itachukua mda kumuelewa Mh.Rais JPM kwa watanzania wesio kuwa na tabia ya kusumbua akili.

Katika utawala wa JK hivi amekwenda mara ngapi MNH?kwa issue ya muhimbili walichodai madaktar ndo alichokiona Magufuli,Pale Muhimbili watendaji wakuu wa serikal wanajua kadhia zake,tulitegemea baada ya ule Mgomo wa madaktar yangetatuliwa,all in all juzi jamaa kaenda CT SKANA MBOVU,ila alipofika imeonekana changamoto ni pesa wamepewa pesa jana Vifaa vimepona,
 
Uzi mreefu lakin umejaa chuki. Hyo ni mipango yake ambayo amejipangia ni wapi pakuanzia. Afya ndio muhim zaidi halafu bila fedha afya itaendeshwaje?

Kama nyie mnajifanya wajuaji wa haki na mambo muhimu mbona mmeshindwa kushaur mbowe juu ya ubabe anaoufanya ndan ya cdm? Acha kuizima nyota ya magufuli ndugu

Hawana jipya wamejaza majungu badala ya kufanya kazi.

Sisi hapa ni kazi tu.
 
Mmemaliza kutukana nyie vichaa wa Lumumba? Mosi makala siyo yangu bali nimekopi na ku paste kutoka mzalendo net.Pili binafsi sina shida na surprise visits za JPM. Angalizo- mabadiliko endelevu utumishi wa umma yatahitaji zaidi ya surprise visits. Tutahitaji kuuliza nini chanzo cha ufanisi mdogo (lack of perfomance) taasisi za umma? Je tatizo ni upungufu wa waatalam na vitendea kazi? Je ni mishahara na ukosefu wa motisha au upendeleo unauwa ari ya wafanyakazi? Haya ni baadhi ya mambo ya msingi inabidi kuyazingatia.Tatu mgogoro wa Zanzibar tusidanganye, tuheshimu matakwa ya wazanzibari.
 
Mtoa Mada; badilisha ID yako ya "simplemind". You are a great mind na ulichosema ni sahihi kabisa; ya muhimbili na sekoture hayawezi kuisha kwa ziara ya siku moja. Siamini kwamba JPJM alikuwa hatarajii kukuta alichokikuta muhimbili. Alijua kuwa wananchi wanataka kuona ahadi zikitimizwa haraka haraka na Muhimbili ndo palikuwa penyewe (hasa akiwa na vyombo vya habari kwa ajili ya kuonyesha jinsi "tinga tinga" linavyoharibu kila kilicho mbele yake) pa kufanyia usanii huo. Binafsi kama ulivyo mtoa mada nilitarajia kushughulikia suala la zanzibar kwanza sababu hata kwa average mind hicho ndo kipaumbele; Tafakari, eti kuna serikali ya muungano lakini SMZ haipo (matokeo yamefutwa kinyume cha sheria; eti juma lijalo bunge linakutana na mustakabali wa walioshinda viti vya ubunge Zanzibar tena wakapewa na vyeti, haujulikani). hii hali si nzuri na nilitarajia mtu huyu niliyempigia kura angekuwa makini zaidi. Kwa bahati mbaya vipaumbele vyake viko upside down!

Ooops, sorry kumbe hiki cha wanawake:eek2::hurt:
 
Mtoa Mada; badilisha ID yako ya "simplemind". You are a great mind na ulichosema ni sahihi kabisa; ya muhimbili na sekoture hayawezi kuisha kwa ziara ya siku moja. Siamini kwamba JPJM alikuwa hatarajii kukuta alichokikuta muhimbili. Alijua kuwa wananchi wanataka kuona ahadi zikitimizwa haraka haraka na Muhimbili ndo palikuwa penyewe (hasa akiwa na vyombo vya habari kwa ajili ya kuonyesha jinsi "tinga tinga" linavyoharibu kila kilicho mbele yake) pa kufanyia usanii huo. Binafsi kama ulivyo mtoa mada nilitarajia kushughulikia suala la zanzibar kwanza sababu hata kwa average mind hicho ndo kipaumbele; Tafakari, eti kuna serikali ya muungano lakini SMZ haipo (matokeo yamefutwa kinyume cha sheria; eti juma lijalo bunge linakutana na mustakabali wa walioshinda viti vya ubunge Zanzibar tena wakapewa na vyeti, haujulikani). hii hali si nzuri na nilitarajia mtu huyu niliyempigia kura angekuwa makini zaidi. Kwa bahati mbaya vipaumbele vyake viko upside down!

Ooops, sorry kumbe hiki cha wanawake:eek2::hurt:
 
wewee miaka 54 ya CCM hospital kubwa kam muhimbili watu wanalala chini utafikiri ni kambi ya wakimbizi miaka 54 miaka 54 na rasimali zilizojaaa nchi hii ama kweli muafrika hawezi ila utumwa tu
 
Mtoa mada yupo sahihi kabisa siku zote ukweli unauma hata kama hamtaki huo ndio ukweli. Serikali ya sasa imeshikiliwa remote.

Hopo kwenye REMOTE ndo patamu. Jana nilisikia taarifa ya Jk ikisema,'sitashangaa Magufuri kuwepo uwanja wa taifa kwenye mpambano wa taifa stars na algeria. Leo magazetini Pombe kuwaongoza watanzania kwenye mpambano huo.
 
mambo ya kulazimishana baraza la mawaziri hayana mantiki. Nigeria Raisi Buhari ana mwezi wa tano ikulu ndo kwanza anaunda baraza sasa ila nchi imekuwa inasonga na Boko Haram wanakula kichapo kila siku.
serikali zetu kazi zake nyingi zinafanywa na makatibu wakuu wa wizara na wakurugenzi watendaji wa Halmashauri. Mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya ni mizigo tu.
Piga Kazi MH Magufuli.
 
Huyu mtoa post ni mpofu Wa akili kwanza uwezi kumpangia rais cha kufanya au aanze na ni hivi huoni ziara ya Mh rais muhumbili imeokoa watu hivi nani alikuwa anajua kama machine st can na mashine nyengine zilikuwa mbovu tena miezi miwili iliyopita na kufika kwake tu kumesaidia kujua ubovu huo na Jana tu tayari machine tayari zimefanyiwa matengenezo na zinatoa huduma Leo . yaani watu wengine sijui wakoje yaani wewe kwa upofu wKo Wa akili aache kushuulikia maswala ya kuokoa maisha ya watanzania wapo wodini mwezi
 
Back
Top Bottom