Uzi mreefu lakin umejaa chuki. Hyo ni mipango yake ambayo amejipangia ni wapi pakuanzia. Afya ndio muhim zaidi halafu bila fedha afya itaendeshwaje?
Kama nyie mnajifanya wajuaji wa haki na mambo muhimu mbona mmeshindwa kushaur mbowe juu ya ubabe anaoufanya ndan ya cdm? Acha kuizima nyota ya magufuli ndugu
Mkubwa.watu kama nyie huwa hamkosekani kwenye jamii.Leo unasema kufuta safari za nje ni zima moto.!!Angekaa bila kutembelea Muhimbili kuna watu tunandugu zetu wagogwa wangeendelea kuteseka.usipende kuandika eti kwa sababu ni gharama ndogo sana kuanzisha uzi JF.Tafadhali uwe unafikili unachoandika.
Itachukua mda kumuelewa Mh.Rais JPM kwa watanzania wesio kuwa na tabia ya kusumbua akili.
Uzi mreefu lakin umejaa chuki. Hyo ni mipango yake ambayo amejipangia ni wapi pakuanzia. Afya ndio muhim zaidi halafu bila fedha afya itaendeshwaje?
Kama nyie mnajifanya wajuaji wa haki na mambo muhimu mbona mmeshindwa kushaur mbowe juu ya ubabe anaoufanya ndan ya cdm? Acha kuizima nyota ya magufuli ndugu
Mtoa mada yupo sahihi kabisa siku zote ukweli unauma hata kama hamtaki huo ndio ukweli. Serikali ya sasa imeshikiliwa remote.
Siku hizi kila mwenye smartphone ni mtoa ushauri kwa watu.