Mahakama ya MAFISADI na MAJIZI kuanza kazi rasmi hapo kesho tar 01.07.2016.

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Ni ile mahakama iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wengi kama ilivyokuwa ahadi ya Raisi. Naona kama zile ahadi za raisi zimeshaisha kabla hajamaliza mwaka! Au ahadi ipi imebaki?

Tuisaidie mahakama hiyo orodha ya mafisadi na ufisadi walioufanya ili iwe rahisi kwao.
 
Back
Top Bottom