si kila alama ya uandishi ni lazima iwe katika kila mfumo wa lugha dunia nzima....alama ulizofundiswa na mwalimu wako wa darasa la kwanza na pili katika somo la mwandiko ndo hizohizo kama unataka kujua alama zingine ni jukumu lako kuzunguka madarasa ya nchi mbalimbali ili uweze jua hizo alama...
duu...bwana baba mi nakumbuka selemko...kwa wale waliokulia mbeya hii jambo inafahamika kufuatana na geographical location yake...baaasi nmechana sana nguo na kikubwa kuvunjika baada ya mgomba nlioupanda kutoka mabako yote na kiniacha katikati ya safari....loooooo ilikua ni kuburuta makalio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.