M muhi Member Nov 12, 2014 50 18 Jul 4, 2015 #1 Ebo!!!!!!, wee si nimekwambia usifungue? Kama ningeweka sumu je, si ungeshakufa? Nyie ndo mnachunguliaga siri za watu. Siku nyingine usirudie tena!!!
Ebo!!!!!!, wee si nimekwambia usifungue? Kama ningeweka sumu je, si ungeshakufa? Nyie ndo mnachunguliaga siri za watu. Siku nyingine usirudie tena!!!
M mamanzara JF-Expert Member Oct 9, 2007 651 195 Jul 13, 2015 #13 Mara nyingi mswahili anakuwa na shauku ya kujua kile anachotakazwa kukifanya. Sirudii tena.
Mkwaha JF-Expert Member Oct 4, 2012 1,688 3,170 Jul 16, 2015 #15 Me wala sijafungua, ila nilikuta mlango uko wazii ndio nikaingia.
chongchung JF-Expert Member Jun 23, 2013 12,139 35,365 Jul 16, 2015 #19 Yaani ile tu nataka kufungua moyo wangu ukakataa kabisa Dah! Nnabahati.