Usifungue hapa (Danger)!

muhi

Member
Nov 12, 2014
50
18
Ebo!!!!!!, wee si nimekwambia usifungue? Kama ningeweka sumu je, si ungeshakufa? Nyie ndo mnachunguliaga siri za watu. Siku nyingine usirudie tena!!!
 
Mara nyingi mswahili anakuwa na shauku ya kujua kile anachotakazwa kukifanya. Sirudii tena.
 
Me wala sijafungua, ila nilikuta mlango uko wazii ndio nikaingia.
 
Back
Top Bottom