Recent content by Fradam98

  1. Fradam98

    Ukosefu wa barabara ya lami kuuanganisha Liwale na wilaya nyingine

    Kumekuepo na changamoto kubwa hasa nyakati za mvua kama hizi ambapo wilaya nzima ya liwale imefungika kutokana na Bara Bara zake kuu kutopitika. Hali hii inapelekea ukosefu wa bidhaa na huduma muhimu kwa wakati mfano huduma za dharura kama Gari za wagonjwa bidhaa Kama matunda mboga mboga na...
  2. Fradam98

    Wito kwa Waziri ya elimu, TAMISEMI na Serikali kwa ujumla

    Kuhusu mgawanyo wa walimu mm nakukatalia...walimu wanaoajiriwa ni wachache na wengi wao hupelekwa vijijini...swala linakuja ni wengi kuhama kutokana na mazingira MAGUMU MNO ya kazi ...mfano mm nipo liwale huku mahali tembo wanazurura vijijini,barabara lami wilaya nzima haizidi km5 na ni makao...
  3. Fradam98

    Kero ya ukataji umeme bila ratiba maalumu

    Leo nimepanda na hii Mada, baada kuona changamoto ilo kita mizizi ya kukatika umeme.licha ya kwamba wamepewa adi mwenzi March 2024 kutatua kikamilifu tatizo la kukosekana umeme wa kutosha. TANESCO wamejenga mazoea ya kuzima na kuwasha umeme mara kwa mara bila ratiba maalumu, inaweza ikatokea...
  4. Fradam98

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita iondolewe

    Ukifeli ukarudi diploma maana yake wewe ni mvivu au hukua serious huko advance niamini mimi....huwezi faulu form four ukashindwa kufaulu advance unless kuwe na tatizo mahali
  5. Fradam98

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita iondolewe

    Elimu ya advance ni ya watu serious,diploma ni ya wavivu,na ni ghali zaidi hasa kwa waliolengwa kunufaika na HESLB na imechakachuliwa sana siku hizi,,,mind u that unaweza ukaenda diploma pia ukafeli usihitimu
  6. Fradam98

    SoC03 Unamuwajibishaje mtu anayemiliki maisha yako?

    Andiko la kikubwa sana hili,Sema kazi kubwa sana inahitajika kufanyika
  7. Fradam98

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita iondolewe

    Nimeona watu wengi Wana judge advanced level bila kujua Nia ya hiyo level... 1.advanced level ni muhimu sana kuliko ata ordinary level katika kutengeneza misingi ya taaluma mf sayansi ,Sanaa au biashara mtu let's say akitokea o level akaenda co ni ngumu kuwa na uelewa mpana juu ya associate...
  8. Fradam98

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita iondolewe

    Kupoteza mda kwa mwanafunzi asiejielewa na ni chaguo bora na shortcut kwa mwanafunzi mwenye malengo
  9. Fradam98

    KYIV: Mavuno ya Nafaka nchini Ukraine mwaka 2023 yawa makubwa kuliko mwaka jana 2022

    Nchi yetu ili iendelee kazi kubwa ya kufanya ipo
  10. Fradam98

    KYIV: Mavuno ya Nafaka nchini Ukraine mwaka 2023 yawa makubwa kuliko mwaka jana 2022

    Sasa kama vijana kazi ni u Winga kariakoo,kuuza chenchi,na kuokota plastics...kila mtu anaona kilimo kama ni ushamba
  11. Fradam98

    Mbowe faults CCM over extreme poverty on Ukerewe islands

    Sometimes truth has to be told that most of we Africans think that government is able to solve each problem we are facing while we citizens are sleeping. You might find most of rural areas people are lazy and living comfortably under extreme poverty....I am kilimanjaro dweller who currently...
  12. Fradam98

    Rais Samia tafadhali fahamu Uhuni huu Usiovumilika unaofanywa na Polisi wako Kuingiza Watu Kinyemela Uwanja wa Benjamin Mkapa

    Mimi sijui ila kama round 9 zote walirejea kufanya ilo swala maana yake watu wengi wameona
  13. Fradam98

    GE2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

    We akili hutumii,subiri tuwe kama zimbabwe ya mugabe ndo utaelewa
  14. Fradam98

    Uliza chochote kuhusu DUCE

    Asante,he kuna faida gani apatazo MTU anaesoma BED zaidi ya anaesoma Bachelor of something with education
Back
Top Bottom