Uliza chochote kuhusu DUCE

Uliza chochote kuhusu DUCE

OK shukran na vp kuhusu huduma za kiroho makanisa ypo
Yeah. Nyumba za ibada zpo karbu na chuo lkn pia kuna fursa ya kufny ibada ndan ya chuo kwa utaratbu maalum uliowekwa na chuo!
 
Bado unaendelea kushaurii bro,au ushahitimu maana nna shida kidogo
 
Asante,he kuna faida gani apatazo MTU anaesoma BED zaidi ya anaesoma Bachelor of something with education
Ahsante kwa swali zuri,
BED means Bachelor of education, huyu anakuwa na somo moja tu la kufundishia pamoja na courses za education. Wakati anayesoma Baed, Bachelor of arts with education anakuwa na masomo mawili ya kifundishia mfn. Kisw na Hist.
Kwa upande wangu naona mtu anaesoma baed ana uwanja mpana zaidi hasa kwny soko la ajira cause ana masomo mawili mkonon..

Wanasema mtu wa BED ni ngumu kubadili profession yake huko mbele ya safari so once a teacher, a teacher forever..

Watu wa baed badae wanakuja kuwa maafisa elimu etc etc, bt mwsho wa siku choice ni yako mwnyew kuamua..
 
Back
Top Bottom