Recent content by Four

  1. Four

    Ujenzi Holela Zanzibar: Sehemu nyingi hazifuati mipango miji – Moto ukitokea huduma haziwezi kufika!

    Njoo huku Arusha,kuna sehemu inaitwa Mianzini mataa ujionee maajabu,huu mtaa hauna barabara maalum ya umaa Unaweza kufuata barabara ukijua ni barabara ambayo itakufikisha sehemu unakoenda mwisho wa siku utaishia mlangoni kwa mtu
  2. Four

    Nilisoma PCB, leo niko Wildlife & Tourism—Si lazima uwe Daktari, jitambue bro!

    Maisha sio lazima usome, baba yangu mdogo, alikuw hajui hata kuandika A lakini maisha yake yalikuwa murua sana
  3. Four

    Kwa mara ya kwanza nimetuma pesa Ufaransa

    Dah kitambo sana,nilifanikiwa bwana malipo yaliyofanyika na kitabu nilipata Asanteni
  4. Four

    Biashara yenye wateja wa uhakika

    Nitafute mwamba
  5. Four

    Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

    Hii hali hata mimi inanitesa sana
  6. Four

    Mshahara wangu ni laki 3 kwa mwezi, nitumie shilingi ngapi kwa siku ili unitosheleze?

    Utaweka msosi wa maana ukiwa umejiajili mkuu hizi kazi za watu ni mbaya sana hazina muda maalum wa kusitishwa
  7. Four

    Miaka nenda rudi sina hata pikipiki na pesa huwa napata nyingi tu. Huwa najiuliza nini kinatokea. Yawezekana napigwa kipapai?

    Me mwenyewe age 28 sasa hakuna hustle miaka 8 yote, hakuna nilichofanya zaidi ya kununua kiwanja tu, nimeamua kutulia sifanyi tena kazi nataka kujua alichinipangia Mungu ni kipi
Back
Top Bottom