Njoo huku Arusha,kuna sehemu inaitwa Mianzini mataa ujionee maajabu,huu mtaa hauna barabara maalum ya umaa
Unaweza kufuata barabara ukijua ni barabara ambayo itakufikisha sehemu unakoenda mwisho wa siku utaishia mlangoni kwa mtu
Me mwenyewe age 28 sasa hakuna hustle miaka 8 yote, hakuna nilichofanya zaidi ya kununua kiwanja tu, nimeamua kutulia sifanyi tena kazi nataka kujua alichinipangia Mungu ni kipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.