Recent content by FOUR E

  1. F

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    Wale waliokuwa wanatoka nduki hawataki midahalo this time wanatumia nguvu zote wapate midahalo? daaa huruma sana.Tuwaache wagombea wamalizie kampeni zao tuache mbwembwe.Tar 25 oct tutafanya midahalo nchi nzima via masanduku ya kura.
  2. F

    Yaliyojiri Tanganyika packers: Kampeni ya chama cha demokrasia na maendeleo 01/10/2015

    Kila niliyekuwa nae ameeongelea hotuba ilivyokuwa nzuri na yenye hamasa.Mh Lowassa ameimprove saaanaa.Tunamtakia kheri zaidi kamanda hodari.
  3. F

    Lowassa akikumbuka kutubu, atasema na hili

    Asante mkuu Daffy
  4. F

    UKAWA yazidi Kupamba Moto!

    Huyo jamaa anayeita wenzake marehemu ajiangalie tusipitilize aisee maana kuna maisha baada ya uchaguzi,hivyo tusijifanye wehu kisa ushabiki maandazi.UTU MBELE.
  5. F

    Lowassa tuokoe maisha ni magumu, nukuu!

    Huruma sn aisee,MUNGU ATUSAIDIE
  6. F

    Lowassa akikumbuka kutubu, atasema na hili

    Ni upuuzi wa mwandishi kuandika vitu vya kipumbavu na kujiita mwandishi.Wazo lilikuwepo toka Nyerere ,kun ubaya gani kumsifu Lowassa aliyekuja kulifanyia kazi na matunda yake tukayaona?....Tuache umaandazi ,tujadili mambo mengine ya nchi hii.Lowassa alipwe hongera zake pale anapostahili.Sorry...
  7. F

    Mama wakwe hebu kuweni na busara kidogo

    Teh teh teh daaa nimejikuta nacheka tuuu bila kujijua...
  8. F

    Nimedhalilika sana, mke wa jamaa yangu kaniambia nikalale nyumba ya wageni

    Muhimu tuache ubwetee.Maana broo mleta mada hakuwa na sbb kuuubwaa ya kwenda kupata hifadhi kwa mshkaji zaidi ya kutaka kusave.
  9. F

    Nimedhalilika sana, mke wa jamaa yangu kaniambia nikalale nyumba ya wageni

    Wanawake au wanaume wastahili hyo wako wengi saaanaa.Ni vile tu sio kila mtu anaweza kuandika msala wake.Binafsi nakumbuka nlienda kwa rfk yangu anaishi upanga mfaume street mchana wa jua kali.Nlishawahi kusikia mke wa mshkaji ni kauzu ,roho mbaya.So cku hyo kufika mchana wa jua kali daa badala...
  10. F

    Wapangaji wangu wanabadilishana wake zao

    Aiseee hii duniaa hiii jamaniii daaa.Sasa ukikuta mkeo analiwa tigo utasemaje ?esp akishazoea...duuh
  11. F

    Kama hujawahi kupiga Punyeto wewe hujakamilika

    Teh teh teh teh teh Chief JJ bhanaaa
  12. F

    Msaada: Salary slip ya 1995 inahitajika kufatilia mafao

    Dhambi sana hii.Bado kuna mijitu inataka tuirudishe madarakani serikali iliyopo duuuu.HAPANA AISEE,MUNGU anipe uzima nifike salama tarehe Octoba 25.
  13. F

    Msaada MD

    Kama una no za TCU wapigie ndg yangu watakwambia cha kufanya.Kama uko karibu,nenda ofisini kwao msasani ukawaone.
  14. F

    UKAWA waitisha kikao cha dharura

    Kuna uzi umerushwa sn jana kwa headings tofaututofauti kuwa Mbowe yuko USA na Slaa.Jamani, hivi mnamjua Mbowe vizuri ?,bahati nzuri walioambiwa kuwa ndio wamempokea Mbowe na Slaa walikanusha mapema.Hiki kipindi tulichoko ni lala salama ,uongo,uzushi nk vitatumika sn kutuvunja moyo.,lkn tukiwa...
Back
Top Bottom