Recent content by foshizzle

  1. foshizzle

    Ipe maneno hii picha

    hahahaaaaa
  2. foshizzle

    No romance without Finance This Friday

    Nimekumiss mpenzi. Mambo vipi?
  3. foshizzle

    Ipe maneno hii picha

    Nape nauye akimtuza Hadija Kopa katika show ilofanyika jijini mbeya
  4. foshizzle

    Tumsaidie huyu mtoto jamani

    Wakuu mimi sio mhusika japo nimeguswa na hili jambo kwa hiyo kutoa mchanganuo sio rahisi. Lakini kwa aliye guswa anaweza kuwasiliana na mhusika moja kwa moja kwa namba hapo juu ili upate undani zaidi. +255719009004. Yeye ndo ataweza kutoa maelezo ya kina. asanteni sana kwa ushirikiano.
  5. foshizzle

    Tumsaidie huyu mtoto jamani

    uchungu wa mwana aujuae mzazi. kama wewe sio mzazi hauwezi kuhisi kitu. ukweli ni kwamba hii kitu inauma sana.
  6. foshizzle

    Tumsaidie huyu mtoto jamani

    Kuna mdada wa miaka 18 Ambaye amejifungua binti anaeitwa Maryam kwa bahati mbaya sana mtoto Huyo alipozaliwa hakua na sehemu ya kutoa choo kikubwa hali ya kwamba sehemu hiyo imefunga. Kwa ujuzi wa ma daktari wa muhimbili wamemtoboa hapo ubavuni ili atoe choo kikubwa kwa njia hii...
  7. foshizzle

    Juma Ngasongwa apata ajali mbaya Kibaha picha ya ndege

    Mh Juma Ngasongwa akikokotwa kuingizwa Hospitali ya Tumbi kupatiwa matibabu baada ya kupata ajali katika eneo la Kibaha jana jioni. Mhe. Ngasoma amenusurika kifo katika ajali hiyo iliyotokea jana jioni Kibaha Picha ya ndege Mkoani Pwani. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza na Dr...
  8. foshizzle

    *mahakama ya kisutu yawaachia huru wanahabari kibanda,makunga na makada wa chadema washinda kesi

    Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde zinasema kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam imewaachia huru aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima ambaye kwa sasa ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda, Meneja...
  9. foshizzle

    Tembo aua Majangili wawili Mikumi

    mjusi ukimkimbiza sana hugeuka nyoka na kuanza kukukimbiza.
  10. foshizzle

    ipe maneno hii picha

  11. foshizzle

    MCD wa Twanga Pepeta afariki dunia

    Aliyekuwa mpiga Tumba mahiri wa bendi ya muziki wa dansi nchini African Stars Twanga Pepeta, Soud Mohamed 'MCD', ambaye baadaye alihamia bendi ya Mashujaa na baadaye kurejea tena Twanga Pepeta, amefariki Dunia katika hospitali ya KCM-Moshi. Taarifa za kifo cha mpiga tumba huyo...
  12. foshizzle

    PICHA: Mawaziri wapya wakiapishwa

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwa na mkewe aliyewahi kuwa Miss Tanzania, Faraja Kotta na familia yake, baada ya kuapishwa katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu...
Back
Top Bottom