Recent content by Forward Ferdinand Gabo

  1. F

    Usaili wa TANAPA kada ya udereva

    Sifahamu kitu hata kama unajua lolote share nasi
  2. F

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Aliyewahi ku attend ya Udereva Tanapa please naomba utupe ABCs
  3. F

    Usaili wa TANAPA kada ya udereva

    kama hautojali nicheki hapo kwa hiyo namba tuyajenge nmepata baadhi ya watu huko.
  4. F

    Usaili wa TANAPA kada ya udereva

    Wakuu habari za Asubuhi. TANAPA wametoa majina ya interview na tarehe husika mdogo wangu ameoangiwa kuifanya hifadhi ya mto wa mbu karatu Arusha kwa post ya udereva please mwenye ujuzi wowote wa namna interview hizo zinakuwa naomba aseme hapa kupata Ushauri. 0742896907
  5. F

    SoC02 Tanzania kufikia hatua ya dawa na vifaa tiba bora

    Ni kweli kabisa matumizi ya viwango katika vifaa tiba na madawa yatapunguza magonjwa hasa ya mlipuko
  6. F

    NACTE wamemwandikia hivi binti yangu, maana yake nini amekoswa selection?

    Sasa wengine ukiingia kweny profile kuna ujumbe wasema "be patient the system is still running for selection process" Inakuaje hapo jamn weny ujuz mtujuze matumain ya kuchaguliwa yapo ama!
  7. F

    Matokeo ya NACTE yametoka?

    Wamesema wapi govt vipo full brooo tupe links bac tujionee wenyew
  8. F

    NACTE wamemwandikia hivi binti yangu, maana yake nini amekoswa selection?

    Aseee fuatilia bhna utujuze mwenzet upo kweny system tusaidiane kwa hilo
  9. F

    Matokeo ya NACTE yametoka?

    Aloooo nacte watu tuna two zetu nyeupe mmetuacha alooooo kuwen seriously tuliacha kwenda advance af now mnatuletea songombingo hizo alooooo mtufikirie bac angalau tufarjike na sie
  10. F

    NACTE wamemwandikia hivi binti yangu, maana yake nini amekoswa selection?

    Nafkir watampa orodha ya vyuo vyeny nafasi then akivipenda achague
  11. F

    Matokeo ya NACTE yametoka?

    Nacte u are letting down students and their parents; we were expecting the results to be out today but it's so much surprised that till this moment we hear nothing from you, we are disappointed with this cennaria of being Quite
  12. F

    Matokeo ya NACTE yametoka?

    Hahahah uwiiiiii nacte eeeh fanyen maamuz ya kibingwa now sa 10 lkn results not yet
  13. F

    Vyuo vya clinical medical vya serikali

    Nacte ni adje Leo ndio trh 14 September 2017; where are the results of selected candidates
  14. F

    Msaada: Nitaombaje ajira kada ya afya ikiwa vyeti havijatolewa na NACTE toka 2015?

    Ndugu wazoefu naomba kuuliza watakao jiunga na koz za afya kwa vyuo vya Govt wanapewa prospectus mara baada ya kujiunga na chuo ama??????
  15. F

    Vyuo vya clinical medical vya serikali

    Wakuu naomba kuuliza ukisha jiunga na chuo kwa ngaz ya diploma wanafunzi wanapewa prospectus za chuo husika amazing? ???
Back
Top Bottom