Naombeni msaada kwa hili kwa wenye uelewa nalo,Mimi ninasoma accounting sijui chochote kuhusu computer program na coding. Nikitaka kujifunza hivo vitu nianzie wapi wadau.
Mkuu tuachane na siasa .........tupeane possible factors zilizosababishaa angu kubwa namna hii
Wengine tunataka kujifunzaa kuna mmoja katoa maoni kuwa pale kunapokuwepo na initial public offer(IPO) mauzo ya soko la hisa yanashuka.......na ni kweli vodacom wametoa IPO saaa cjuii ww una wazo gan...
Jibu hoja mkuu usifananishe matukioo......uwez fanya kosa na kusema ujafanya kisa kuna mwenzio kafanya alaf ajafanyiwa kituu.......
Ccm ilifanya sijui aikufanya ila tuseme ilifanya ili twende sawa........ccm baada ya kufanya ivoo tukapiga kelele nilitegea chama kinachohubir democrasia kiwe mfano...
Naungana na ww kulaani pia nakupongeza kwa hatua ulizochukua kama kiongozi mwenye dhamana..........nakukumbusha tu clouds walivamiwa na bunduki usiku na watangazaji wakatishiwa kupelekwa jela na kupewa kesi za madawa ya kulevya
Kama kiongozi mwenye dhamana pia agiza jeshi lako likawakate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.