Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,317
iyo bibilia! ni ya kuzimu!
Mbona sioni pombeWaraka wa Kwanza wa Petro....
01 Petro 04 : 01 - 05 .. inasema.....
1 Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ya nia ile ile; kwa maana yeye aliyeteswa katika mwili ameachana na dhambi.
2 Tangu sasa msiendelee kuishi katika tamaa za wanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu, wakati wenu uliobaki wa kukaa hapa duniani.
3 Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuenenda katika ufisadi, na tamaa, na ulevi, na karamu za ulafi, na vileo, na ibada ya sanamu isiyo halali;
4 mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana.
5 Nao watatoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
VileoMbona sioni pombe
Yoshua bin Sira biblia ya wakadolikiHicho kitab cha yoshua ni kipi maana kilichoko kwenye bibilia kina mistari 24 tuu sasa ww umeweka mtari wa 31 cjui umetoka wap
Mara ako ya mwisho kusoma bibilia ni lini maana kitab cha yoshua bin sira akina aya nyingi ivo kina aya 24 tuu ........ko jaribu kumwogopa mungu kijanaa
Yoshua bin Sira biblia ya wakadoliki
Kwani wewe bible zote unazijua?Hicho kitab cha yoshua ni kipi maana kilichoko kwenye bibilia kina mistari 24 tuu sasa ww umeweka mtari wa 31 cjui umetoka wap
Bibilia ipo moja tuu kama kuna inginee ni imani mpya siyo wakristooKwani wewe bible zote unazijua?
Je unajua ya kwamba imefanyiwa marekebisho mara ngapi?Bibilia ipo moja tuu kama kuna inginee ni imani mpya siyo wakristoo