Ningekuwa mwana-CCM hakika leo leo ningehama chama

Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.

Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?

Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
umenikumbusha kisa cha binti wa kimasai, siku moja mzungu alikuwa anahubiri umasaini binti akapanda juu ya mti amwone mzungu, mzungu akahamaki akamwambia binti shuka utukufu wa bwana u juu yako, baada ya mkutano binti akapewa magauni mawili na nguo ya ndani, kesho yake mamake akajiwahi mapemaa, mzungu kufika akahamaki mama shuka mzungu akauambia umati yatupasa kuwatunza wake zetu.
 
Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.

Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?

Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
Bado unastock kubwa ya viroba??
 
Hiyo ndio akili yake hamna kitakachoibadilisha, anajaribu ku cover his puuu yet tumeshaiona
Iweje aseme akamatwa alafu tena aseme aachiwe na aanze kumsifia
Infact Ney should be very careful na Makomeo
 
Kapumzike tu mkuu, maana naona umekuwa ukifululiza kupost pumba tu! Kama umekosa la kuandika changia hata mada za wenzako.
 
Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.

Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?

Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
NDIO UMEANDIKA NINI WE WE ULIYEKUWA UNAFUKUZIA UAFISA HABARI WA CHAMA KILE? PUMBA TUPU MPAKA INAKERA SANA!
 
hiyo avatar yako lazima unune...serikali iliyopita angalau ulifika ikulu na kupiga selfie...awamu hii hamna kuitwa.......
 
Ngoja nikupe shule kdgo.

TOFAUTI YA KIONGOZI NA MTAWALA.

KIONGOZI
1. Ni mtu wa Watu
• Kiongozi kipaumbele chake ni watu
• Anakuna kichwa afanye nini ili watu wake waweze kuishi kwa amani na furaha.
• Kupenda kuwasikiliza watu wanasema nini, wanalia juu ya nini, wanacheka juu ya nini nk.
2. Hugusa Moyo wa Mtu
• Mkono wa kiongozi hugusa moyo wa wafuasi.
• Ushawishi wake kiongozi huwa sio wa akilini au kichwani bali hupenya hadi ndani ya moyo wa mtu.
• Anauhakika wa kuwa na watu nyuma yake kumfuata popote atakapo kwenda
3. Huuliza Kuna nini Moyoni
• Hutaka kujua nini kimeujaza moyo wako
• Mbona huna furaha moyoni kumetokea nini? Nifanye nini kukusaidia furaha ya moyo wako iweze kurudi.
• Mbona unafuraha sana leo nini kimetokea mpaka umekuwa mwenye furaha hivyo moyoni? Unahitaji kuendeleza hiyo furaha yako.
4. Hufundisha Watu
Kiongozi hufundisha wato na sio kufundisha somo
Kiongozi hutamani hata Yule mbumbumbu asiyeelewa darasani au kanisani ameelewa na kupokea kitu.
Huchukua juhudi za makusudi kufuatilia zaidi.
Kipimo chake cha uwelewa wa wanafunzi ni Yule mtu wa mwisho kuelewa darasani.
5. Ana upeo wa Kuona Mbali
• Huangalia faida itakayopatikana kule mbele sio lazima sasa.
• Anawekeza sasa kwaajili ya sasa na badae
• Anawekeza vikubwa anavuna vikubwa pia.
• Anafanya leo kwajili ya kesho
6. Ni Mbunifu na Muanzishaji (Originate)
• Anamawazo mapya
• Anabuni na kuwapa wengine
• Anaweza kubuni na kupitisha barabara katikati yam situ mnene mahali usingefikiri kamwe barabara ingepita
• Ni mvumilivu kusubiria matunda kwa wakati wake.
7. Hujiuliza Nini na Kwanini (What and Why)
• Ninafanya nini na kwanini ninafanya hiki.
• Huwa na sababu ya kutosha kumuwezesha kufanya anachokifanya kwa nguvu zaidi.

MTAWALA
1. Ni Mtu wa Vitu
• Kitu cha muhimi kwake ni vitu sio watu.
• Kama ni mmiliki wa basi, likipinduka chakwanza kuuliza gari imesalimika haijaumia?
• Akiambiwa mzee gari imepona ila watu wote wamevunjika vunjika na kufa atasema afadhali.
• Akiambiwa gari imesagiga sagika hakuna hata cha kuokota ila watu wote wamesalimika ataangua kilio kweli maana gari imekwisha.
2. Hugusa Vitu vya mtu
• Tofauti na kiongozi mtawala hagusi moyo anagusa vitu
• Mitambo au vitu nivyamuhimu sana kuliko watu.
• Chombo kikiungua ni hasara kubwa sana lakini mtu akivunjika mguu ni kawaida ajali kazini.
3. Huuliza Kunanini mfukoni
• Tofauti na kiongozi ambaye huuliza kunanini moyoni, interest ya mtawala nikujua kuna nini mfukoni.
• Hugusa pochi na sio moyo
• Hugusa kichwani na sio Moyoni
4. Hufundisha Somo
• Hufundisha somo watu na sio kufundhisha watu somo
• Hufundiaha kumaliza mtaala na sio kufundisha kuwaelimisha.
• Hufundisha kwa kuwapa wanafunzi taarifa, na sio badiliko la maisha.
• Teaching for information not transformation.
5. Ana upeo wa Kuona ya Sasa
• Hushughulika sana na ya sasa.
• Macho yake ni dhaifu hayana nguvu ya kuona ya mbele.
• Anataka kupanda leo na kuvuna leo.
• Hana mpango wa kuwekeza kwaajili ya baadae.
6. Huiga na kukarabati Kilichokuwepo (Immitate)
• Hana uwezo wa kubuni vitu vipya.
• Yeye huendeleza walivyobuni wengine
• Kama ni barabara hana uwezo wa kubuni barabara mpya ataziba tu viraka vya barabara aliyokabidhiwa.
• Kama ni kanisa akipewa hata kama likijaa hawezi kuja na mpango mpya wa kujenga linguine la kisasa bali atakuwa anabadilisha tu milango na kupiga rangi upya nk.
7. Hujiuliza Kivipi na Lini (How and When)
• Nitafanyaje hiki nilichopewa kiendelee kuonekana kizuri?
• Lini nitaweza kutekeleza hii kabla sijanyan’ganywa madaraka haya?

Wew ni mtawala,,,vijana wa ccm shule ipo kweli ni kwasababu mnaongoza jamii kubwa ya wajinga yani 60/40 lakini taratibu watajua.
 
Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.

Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?

Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
Usiandike tuu ili uwe umeandikaa lazma ujitathimini je unaweza kulifanya ilo jambo??? Cyo tuu unakosa au kusema wenzioo ilhali ww mwenyewe huna tofauti naoo nikukumbushe tuu
Mwaka 2015,lowasa alijiunga na chadema akitokea ccm aikupita wiki mwenyekit wenu bwana mbowe akashiniza apitishwe kuwa mgombeaa urais ila aukuhawa chama wala ukukosoa kuonesha ukubaliani na hicho kitendo badala yake uligeuka mnafiki wa democrasia ndani ya chama chenu...........leo kwa ccm unaona ungeza kuhama chama acha weweee
Wise man awagi hivyo joh
 
upo ushahidi kwamba vijana wanaounga mkono ccm wana uwezo mdogo mno ! Wengi ni wahanga wa dhiki za familia zao , unaweza kuta huyu lizaboni anaishi kwa mmoja wa viongozi wa ccm , baada ya kukimbia dhiki kwao .

Kwa hali kama hiyo hata wakinyanyaswa vipi hawawezi kuhama ccm , watakula nini ?

Ebwana eeh! Kumbe ndio maana kule UVCCM kuna vijana wengi wenye ile tabia inayo mkera Kigwangwala? Na wengi wakipewa mapumziko badala ya kwenda kwao Mwanakwerekwe wanaenda mapumzikoni Mombasa? Kuna ni huko Mombasa?
Nasikia siku hizi kuna msemo eti huna malinda wenye! Eti mkuu maana yake nini wakiwa wanaambiwa hivyo?
 
Rejea article ya Mzee VUTA NKUVUTE leo, "POLEPOLE NAKUPONGEZA, POLEPOLE NAKULAUMU".
 
CCM ni chama tawala. CCM ni chama dola
Inapendeza sana kwamba umekuwa wa kwanza kujibu waraka huu, maana ulikulenga wewe haswa! inapendeza zaidi kwamba hata huelewi unachojibu!!!! wewe ni Bashite pia????
 
Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.

Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?

Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
Mshukuru mungu sio, pilipili usizozila zakuwashia nini??
Kwa mfano ungehama uende chama gani??
 
Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.

Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?

Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
Baki huko huko uliko hata sisi hatukutaki kwenye chama chetu.
 
Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.

Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?

Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
Hapa kweli wamechemka hata mimi wameniudhi ! Maana mwingine akija na muziki wa kutukana viongozi asiguswe ?!
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom