Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
ReasonUchaguzi wa Kanda Ya kaskazini uliyokuwa ufanyike leo Jijini Tanga Umehairishwa Mpaka hapo utakapotangazwa tena na Uongozi wote wa mkoa wa Tanga umevunjwa
Uchaguzi wa Kanda Ya kaskazini uliokuwa ufanyike leo Jijini Tanga Umehairishwa Mpaka hapo utakapotangazwa tena na Uongozi wote wa mkoa wa Tanga umevunjwa
Kisa mwenye kigoda hamtaki Ndesapesa anataka watu wa kuwaendesha kama gari bovu ukitaka kutofautiana na mwenye Sacos yake umzidi akiri au mzidi pesa kisha mtumia Ndesa sasa hamtaki tena huyu mzee wa mbwii ana laana.Uchaguzi wa Kanda Ya kaskazini uliokuwa ufanyike leo Jijini Tanga Umehairishwa Mpaka hapo utakapotangazwa tena na Uongozi wote wa mkoa wa Tanga umevunjwa
Akiri ndio nini?Kisa mwenye kigoda hamtaki Ndesapesa anataka watu wa kuwaendesha kama gari bovu ukitaka kutofautiana na mwenye Sacos yake umzidi akiri au mzidi pesa kisha mtumia Ndesa sasa hamtaki tena huyu mzee wa mbwii ana laana.
Sio kolomije? [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Bila kupatikana mtu wa KLM hapo hapatatosha!
nimefananisha haya maandiko kama ya chokoraaKisa mwenye kigoda hamtaki Ndesapesa anataka watu wa kuwaendesha kama gari bovu ukitaka kutofautiana na mwenye Sacos yake umzidi akiri au mzidi pesa kisha mtumia Ndesa sasa hamtaki tena huyu mzee wa mbwii ana laana.
Uchaguzi wa Kanda Ya kaskazini uliokuwa ufanyike leo Jijini Tanga Umehairishwa Mpaka hapo utakapotangazwa tena na Uongozi wote wa mkoa wa Tanga umevunjwa
Tumia akili japo kidogo itakusaidiaaUkiona hivyo ujue kuna Mchagga ilikuwa kura zake zisingetosha kama kura zingepigwa Leo
Mbona habar aijatuliaa mkuu sabab za kuhairisha ni zipi na kwann uongozi wa tanga umevunjwa mkuu naomba kufahamUchaguzi wa Kanda Ya kaskazini uliokuwa ufanyike leo Jijini Tanga Umehairishwa Mpaka hapo utakapotangazwa tena na Uongozi wote wa mkoa wa Tanga umevunjwa
Ukiona hivyo ujue kuna Mchagga ilikuwa kura zake zisingetosha kama kura zingepigwa Leo