Kwanza tambua hauko peke yako na wewe sio baba yake.
Then jua namna ya kucheza na saikolojia na sio hisia zake
Hii ndio njia ya kufaidi MAKEBO bila ya kugharamika sana.
Akikuomba pesa mpatie 10,000 leo, then mwambie "ila bebi navyokuona na shepu yako hio nikikufungulia duka la nguo utauza...
Unaonekana wewe ni mchepuko wa mtu au uliwahi kufaidika kwa namna hio.
Ila sio mbaya, wajinga ndio waliwao.
Kwa upande wako umefaidika kwa ujinga wake. Siwez kukulaumu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.