Recent content by FORCE NAMBA

  1. FORCE NAMBA

    Opinion: Dr. Shika Ana Hali Fulani, Anahitaji Msaada, Huruma, Upendo na Protection of His Right to Privacy!.

    Nimefuatilia sana maelezo ya huyu bwana kwa makini sana.Nilianza siku ya mnada wa Nyumba za Lugumi,maelezo aliyotoa polisi kuhusu mnada, Jinsi alivyotambulisha kampuni yake na alivyotekwa Urusi. Kutokana na maelezo ya watu mbalimbali katika mijadala mbalimbali wakidai jamaa ni chizi kwangu...
  2. FORCE NAMBA

    Dr Shika akipata chaiii

    Wenye pesa bwana kuwagundua ni kazi sana.Ila mtu kapata kamilioni basi inakuwa tabu ghetto mademu wanapishana tu
  3. FORCE NAMBA

    Inaonekana Mo Ibrahim hana raha tena ndani ya Simba SC

    Kweli kbs MO namkubali sana zaidi ya Mavugo kwa nini sasa!!!! Wampe match hata 3 mfululizo
  4. FORCE NAMBA

    Nyumba zinauzwa mil.25 kila moja ni za kisasa mpya

    Tajir wa Lugumi anakuja
  5. FORCE NAMBA

    Naombeni msaada wa kitaalamu,

    Una document yoyote inayoonyesha umiliki wake?
  6. FORCE NAMBA

    Tanzia: Mwanafunzi wa UDOM afia juu ya kifua cha mwanamke wakati wa Tendo pendwa

    Aisee huyo mama kwa nini ashindwe kuvumilia si kesi ya mauaji hiyoooo!!????
  7. FORCE NAMBA

    Kwa hii Ndege vita ya JWTZ iliyopita sasa hapa Dar mnaotaka chokochoko mjipange upya mtaumia

    Kelele ndo zimekuzingua au!!!! sasa kwenye vita si adui atakuona kirahisi sababu ya kelele hafu anadungua!!?????
Back
Top Bottom