Recent content by fofio more fire

  1. fofio more fire

    Lowassa kaweka nchi rehani

    Tutabuluzwa na wafanya biashara
  2. fofio more fire

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Life is goes on tuache yapite ilimladi tuwe na amani tu
  3. fofio more fire

    Taja eneo uliopo kama nako hakuna umeme

    Nipo kariakoo hakuna umeme na sheli imekua na folen ya yatu na vidum ya mafuta kwaajili ya geneletor
  4. fofio more fire

    Sababu za wakazi wote wa Tanga kupiga kura za ndio kwa Magufuli

    Hapo ctoi neno mana tanga cpajui ila ni watani zangu
  5. fofio more fire

    Dina Marios ajiunga E-Fm Radio

    Kinacho tuponza cc ni kuangalia maclahi mbele pacpo kuangalia utu kwanza
  6. fofio more fire

    Angalia namna Lowassa anavyojichanganya na kuonyesha mapungufu yake mengi

    Hii ni shidaaa mana lowasa ananunua watu ili afanikiwe kuingia ikulu na akiingia tutegemee ikulu itakua na walinzi wakimasai na sime zao na hata tausi wata chinjwa wote na kuleta ngombe mgeni akifika analetewa maziwa huku akimsubili raisi pia ugoro utauzwa mpaka ikulu na felli watazuia kuleta samaki
  7. fofio more fire

    Dr. Slaa kugombea Karatu kwa tiket ya CCM

    Hembu ni fafanulieni mm mbona sielewi kitu hapo majina yote matatu ya fanane
  8. fofio more fire

    Wanaohama CCM kwanini wote wanakimbilia CHADEMA?

    Hilo ni swar la maana sana kwa wdau wa siasa
  9. fofio more fire

    Nimemharibia rafiki yangu ili niwe na mpenzi wake

    Kama dem analipa achana na urafiki ww kua na tt la ukwehe
  10. fofio more fire

    Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    Yasije kua kama ya mrema mwaka 1995
Back
Top Bottom