Dina Marios ajiunga E-Fm Radio

Dina Marios ajiunga E-Fm Radio

Huyu dada alikua mtangazaji mzuri sana Clouds Fm kipindi cha Leo Tena.

Aliacha mda mrefu bila sababu za msingi sana.

Namkubali sana huyu dada namtakia kila la heri huko

Mbona sababu ipo mkuu, au unataka kupindisha ukweli!?
Kuna binti mmoja yuko pale ni mtangazaj pia anatoka na mkubwa ndo alimchomea bidada akapigwa benchi kwa kipindi kisichojulikana.

God is good all the time, namtakia kila lenye kheri ktk utangazaji na biashara yake ya mafuta ya nazi ya watoto.
 
Clouds ni radio ya watu, usipoipenda kwenye kuandika au kuisemea kwa kuipinga basi unaipenda moyoni hakuna kama clouds. Na hapa mkibisha mnabisha kuandika moyoni mnaipenda. Kwenye sifa tusifie..na tuwe wawazi na ukweli

Kizazi jeuri wa karne.
 
Tangu Dina alipowekwa bench, leo tena imekuwa haina mvuto kama ule wa zamani.
Kila la kheri Dina huko uendapo.
 
Mbona sababu ipo mkuu, au unataka kupindisha ukweli!?
Kuna binti mmoja yuko pale ni mtangazaj pia anatoka na mkubwa ndo alimchomea bidada akapigwa benchi kwa kipindi kisichojulikana.

God is good all the time, namtakia kila lenye kheri ktk utangazaji na biashara yake ya mafuta ya nazi ya watoto.

kumbe kile kizamaradi kina roho mbaya hivo, sikuwahi kujua
 
Ana meno ya samaki

yaan hicho kidemu zamani nilikuwa nakiweka katika kundi la watangazaji wachache waliosmart pale cloudz, but toka kipindi kile nilipomuona instagram anagombea mwanaume na Ray C nikamshusha thamani kabisa
 
all the best Dina ila tutakumiss na umahiri wako wa kutangaza kwani hyo Efm haishiki kote
 
Hawa jamaa nao, yule dada alifit sana leo tena kuliko da huu, me nikajua atahamia kwenye TV kumbe....
 
Back
Top Bottom