Recent content by Focustz

  1. F

    Laki 4 Kwa mwezi, mitaa ipi naweza kumudu maisha Dar?

    Brother! Tumemaliza mwaka mmoja hapo makumira university class of 2019, nakushaur tu km umeweza kubaki Arusha nakupambana mpk kwny bajaji, Nina uhakika kipato chako not less than 15k na maisha ya Arusha hayana hekaheka kbs napajua vzr. Baki Arusha jichange fungua biashara zako.
  2. F

    Gari nzuri ya CC chini ya 1500 budget 14m-18m

    Kwahyo ww na passo yako umefikia level yakumiliki gari sio!? Au passo ina zaid ya cc1500!? Why huku opt crown or something else, anyways mtu kaomba ushauri apewe sio Ku m criticize juu ya uwezo alonao.
  3. F

    Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

    Mtoa mada unaweza kufa ukazaliwa mende, hivo life after death is possible.
  4. F

    Fireboy, Rema na Joeboy wameibuka kwenye mziki wa Nigeria na wanatamba sana

    Adenkule Gold. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  5. F

    Msaada Mwanza kwenda Nairobi

    We saga sumu bana Nairobi kufanya nn. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  6. F

    Kwa milioni 4 ninunue gari gani lililotumika?

    Bado tubapigania siti kwenye daladala za mbagala. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  7. F

    Uzi maalumu kwa wapenzi na tunaomiliki Toyota Corolla Rumion

    Kata pickup kasombee tofali. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  8. F

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Embe ni march. Tunzeni kumbukumbu. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  9. F

    Mji upi ni zaidi ya mwenzie kati ya Arusha au Mwanza

    Arusha kumetulia zaidi ya mwanza, Mwanza ina population kubwa zaid ya Arusha. Kwa starehe Arusha in zaidi ya mwanza, kwa uchafu Mwanza ni zaidi ya Arusha, Kiuchumi Arusha in zaidi ya mwanza, kwa umasikini Mwanza in zaidi ya Arusha... Kwa Bebe's Arusha ni zaidi ya mwanza. Kwa ushamba Mwanza ni...
  10. F

    Uzi maalumu kwa wapenzi na tunaomiliki Toyota Corolla Rumion

    Gari mbaya, muonekano kama Buti la jeje. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom