Brother! Tumemaliza mwaka mmoja hapo makumira university class of 2019, nakushaur tu km umeweza kubaki Arusha nakupambana mpk kwny bajaji, Nina uhakika kipato chako not less than 15k na maisha ya Arusha hayana hekaheka kbs napajua vzr. Baki Arusha jichange fungua biashara zako.
Kwahyo ww na passo yako umefikia level yakumiliki gari sio!? Au passo ina zaid ya cc1500!? Why huku opt crown or something else, anyways mtu kaomba ushauri apewe sio Ku m criticize juu ya uwezo alonao.
Arusha kumetulia zaidi ya mwanza, Mwanza ina population kubwa zaid ya Arusha. Kwa starehe Arusha in zaidi ya mwanza, kwa uchafu Mwanza ni zaidi ya Arusha, Kiuchumi Arusha in zaidi ya mwanza, kwa umasikini Mwanza in zaidi ya Arusha... Kwa Bebe's Arusha ni zaidi ya mwanza. Kwa ushamba Mwanza ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.