Boflo, enzi za Twiga Hotel pale Roof Garden, kuna mdada nilimdate, wote tukaagiza vinywani na chakula, imagine enzi hizo Chicken masala ilikuwa na bei. You know what she didi? Alikula vijiko vitano tu.....eti nimeshiba. Sikumjibu kitu, nikavuta sahani nikala, and that was the end of our...