Pius Msekwa alikuwa waziri mkuu wa Taifa la kusadikika au hili hili la Tanzania? Napata wasiwasi na fani ya uandishi wa habari kwa sasa imekuwa kimbilio la "failures" ndio maana habari nyingi zina makosa
Unafanya masiala na elimu ya chini ya mti, tena mwembe wenye matunda km sio kuwa na manunda kibao. Hata waziri huwajui afu unajitokeza public. Karudie kindagateni mkuu.
Tuelekeako sijui ni wapi... napata wasiwasi kizazi kijacho kitakuwa na madudu mengi sana ikiwa waandishi wetu historia imepita kushoto kulia..... Mungu tusaidie maana isijekuwa ni upepo unapita halafu haupiti ukabakia ndani ya vichwa vyao
Nilisoma hili neno kwenye kalenda fulani eti P.Msekwa ni waziri mkuu mstaafu, nikajiuliza alikuwa PM wa nchi gani jamani? kama ni S mstaafu hapo sawa lkn kwa PM a big no also a small no applies here, asenteniiiii ba ndg kwa kuniiiellewaaa, nadhani hawakuedit kasi yao ndiyo maana ina mikosa miniiingi tuuuu
Globoal college of hospitality Buguruni, journalism and TV presenter miezi mitatu...Chuo kina madhari nzuri ya kusomea. Inatazamana na kitua cha mabasi ya Buguruni..............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.