Dunia ina enda kasi sana,kwaio saiz mtu birthday yake usipo mpost instagram maanake ni kuwa una ugomvi nae au una mchukia duuu,sasa asipo mpost arafu aka mpigia simu na kumuwish direct then asi mpost kuna ubaya wowote?
Nina fridge dogo brand ya Boss linagandisha vizuri sana linafaa sana kwa matumizi ya nyumbani na dukani/mgahawani,bei sh 50,000 lina shida moja tuu halina mlango
mkuu ungenichapa makofi?ungenichapaje makofi,yaan sijaelewa makofi yanachapwa kivipi?
Arafu mkuu mbwa amenyanyaswaje?amekwambia kuwa ana nyanyasika? hivi unajua kwa siku ana kula bajeti ya shingapi huyo?ana kula vzur kushinda ata wewe
shobo zako tuu unashindwa kusoma heading au?
hii ni sehem ya wanopenda kufurahi we na shida zako uko plus kugombana na mchepuko wako una kuja na mahasira yako pole hapakuusu nenda kwenye siasa mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tunauza na kusambaza mbwa aina ya German sherfad,mikoani tuna tuma karibuni sana,
Mbwa wetu wanauwezo wa kunusa na kutambua mita 100 kutoka usawa wa adui alipo, karibuni sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Thanos wewe si ndio umeleta uzi huuu,Umeambiwa mwaka huu huma linzi,Ili kujithibishia hilo,Nta kutafuta january,Nkiona kimya tuu tuta badilisha DP yako na kuweka R.I.P,saizi we jirushe rushe sijui mara mpunyenye,mpwipwi,kipochi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.