gspain na wadau wengine
Ahsante kwa elimu, nimekua nikiitafuta kwa muda mrefu. Maana sio rahisi kumuuliza mtu anaefanya moja kwa moja.
Kwa mchanganuo uliiutoa, Kodi inakatwa hata kabla ya kumaliza matumizi yoote. Yaani wao wanakata 10% hata kabla ya kujua kodi ya jengo, au operators wamelipwa...
Sioni kama kuna shida, maana kama mnapendana, muoane. Uwe mke wa pili.
Ya nini kujinyima, ukaoelewa na mwingine then ukaendelea kuchepuka?
Hata hivyo, kwa miaka miwili umekua mke wa pili, tafakari!
Kosa lako ni pale ambapo ukiruhusu mapenzi ya upande mmoja! Yaani yeye hajishughulishi kuhakikisha mapenzi yenu yako imara, shughuli yote unafanya wewe! Kaa mbali kidogo, ili aone kama anakuhitaji au lah!
Tuvae Condom, ni kwa faida ya nchi zaidi ya raha ya binafsi.
Lakini mapenzi yasiwe vita, anyway wale wa rough watakuja na hoja, ila rough iwe mmepima na mmefikia hatua fulani ya mahusiano. Mbali na hapo, lengo liwe kuridhishana na sio kukomoana.
Hongera kwa kulea mimba hadi hatua hiyo.
Kiwango cha pesa kinategemea na wewe ulipo, aina ya hospitali utakayompeleka lakini pia aina ya Daktari, specialist au gp. Ni kati ya 150000 hadi mill 2. Inaweza zidi endapo kutatokea complications.
Ni muhimu sana wewe kuhakikisha kwamba unazijua dalili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.