Nimweleze mama kuhusu huyu best friend wake?

Na mm situation ninayopitia Sasa hivi haitofautiani sana na yako naomba ukipata solution la tatizo hilo nijuze tafadhari na Mimi niokoe jahazi
 
Nimependa uandishi wako ila kuna mambo mawili yenye makosa,
1. Kuchanganya kingereza na kiswahili,
2. Tabia aliyonayo judy na wewe unayo maana dalili inaonyesha uliposema alinikuta na mvulana mkubwa aliyenizidi umri. sijapenda hii
 
Uko vyema Sana ktk uandishi Mtu anasoma story yako ana wish aendelee kusoma zaidi na zaidi

Anyway ngoja nisome Michango ya wadau kwanza
 
Acha kufatilia yasiokuhusu dingi yako anatia nje wewe kinakuuma nini? Matumizi si mnapewa vizuri na familia analea vizuri? Unachokitafta utakipata usikute dingi yako hawapendi tena nyie basi tu anakaa na nyie kinafiki moyo upo kwa judy siku ukiyatibua wewe na mama yako mkabeba mabegi yenu mkasepa mjengoni na judy kuingia rasmi ndani ndo akili yako itakukaa sawa. Cha kukushauri kama umeshakuwa mkubwa toka hapo kwenu tafuta mume uolewe hio nyumba sio yako na hayakuhusu hao ni watu wazima wanajua watendalo
Daahh !!! Wee jamaa
 
Nimependa uandishi wako ila kuna mambo mawili yenye makosa,
1. Kuchanganya kingereza na kiswahili,
2. Tabia aliyonayo judy na wewe unayo maana dalili inaonyesha uliposema alinikuta na mvulana mkubwa aliyenizidi umri. sijapenda hii
Haujapenda Nini Sasa Wakati Mtu kaamua kutumia kikojoleo chake

Yaani wabongo tuna pangiana mpaka matumizi ya Uchi !!!!!
 
Haujapenda Nini Sasa Wakati Mtu kaamua kutumia kikojoleo chake

Yaani wabongo tuna pangiana mpaka matumizi ya Uchi !!!!!
Hahahaha, we jamaa nimecheka kwa sauti mbele ya watu nikaonekana njinga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁
 
Hahahaha, we jamaa nimecheka kwa sauti mbele ya watu nikaonekana njinga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁
😀😀 Yaani Wabongo noma huko tunapoelekea ipo siku tutaanza kuuliza a kwanini umekubali kuwa na sura hiyo
 
Salaam Aleikh

Huu uzi ni kwa ajili ya kuomba ushauri. Nina Imani wapo humu watu wenye mitazamo ya kuona kwa mapana madhara au faida ya hili jambo. Nimejaribu kuwaza kwa Zaidi ya miezi minne sasa namna nzuri ya kumweleza mama yangu kuwa rafiki yake mkubwa, yaani shosti shosti kweli, ndiye anayemzunguka kwa kutoka kimapenzi na baba.

Naomba nieleweke kuwa lengo langu sio kutoa shutuma za usaliti wa baba, maana kwanza naelewa sio mchepuko wake wa kwanza (au pekee), pili men ambao hawana nyumba ndogo hawafiki hata asilimia moja, na tatu huyu shosti wa mama hajaanza leo kutoka na mzee (don’t get me wrong, simkandii mzee. my dad is one of the best people I have ever known, sio kwa kuwa ni baba yangu, ila huyu mzee ni Zaidi ya binadamu, pamoja na mapungufu yake). Lengo langu ni atleast kuvunja huu urafiki wa mama na mchepuko wa baba (who by the way ni pisi moja kali mno).

Hii ni kwa sababu, ingawa wamekua mashost kwa muda mrefu, ila miezi ya karibuni wamekua Zaidi ya marafiki. Wameanza mipango ya kufanya investment za pamoja. Sasa hii inanipa wasiwasi mom anaweza pata Zaidi ya mshtuko akija kugundua. My plan is atleast ajue huyo sio shosti tu, ni mke mwenza. Nilishajaribu kumface huyu shosti wa mama ofisini kwake, alichonijibu niliona kabisa hana mpango wa kuachana na mzee, yeye anamuita kwa jina la kwanza, Paul (sio jina halisi).

Kwa wasiopenda stori ndefu mnaweza ishia hapa na kunipa ushauri wa nini cha kufanya. Ila kwa wanaoweza kuendelea ningependa kutoa background information ya hii triangle.

My mom alinipata mimi akiwa na miaka ishirini kamili, akiwa bado ni mwanafunzi wa diploma. My dad wakati huo alikua ndo amepata kazi serikalini. wamezidiana miaka mitano tu na kwa sasa dad ana miaka 48. Huyu shosti yake mama kanizidi mimi miaka 12 (najua nimewapa kazi ya kukokotoa hahaha, ndo lengo langu). Nilipokua na miaka nane hivi, dad alipata kazi ya uhadhiri nje ya nchi (hapahapa Africa), so baada ya kama mwaka kule, akafanya mpango mom akapata pia kazi ubalozini, so tukawa wote nje ya nchi for years.

Baadae mom akarudishwa wizarani hapa DSM, so ikanibidi nirudi nae. Lakini kabla ya uhamisho, kuna dada aliletwa kuwa mtumishi ubalozi wanchi tuliyokuepo. Huyu dada ndo huyu shostito wa mama. So urafiki wao ulianza kitambo, na hata baada ya kurudi Tz na yule dada kubaki kule, waliendelea kuwasiliana kama marafiki. Kwa kuwa kabla ya mama na mimi kuondoka kule, huyu dada alikua keshapazoea home, nadhani hata baada ya kuondoka mazoea yaliendelea na nahisi mahusiano yake na dad ndo yalianza kipindi hiki.

Mzee aliendelea kukaa huko kwa miaka kadhaa, hadi mimi namaliza form four alikua bado kule. Na kila nilipokua naenda nlikua namkuta yule dada yuko involved sana na mzee. Yaani kunipokea airport watakuja wote, kama ni shopping tunaenda wote, tukiamua kwenda dinner mahali atakuepo, yaani ingawa nilikua bado katoto ila nlijua tu mzee anakula huyu dada. Ila wala sikua na shida sana. Kwa sababu, dada mwenyewe alikua ananijali mnoo yani, nikienda nae shopping ntanunuliwa nguo za fashion current, vipodozi, viatu ….. I really liked her, so akawa kama dada ambaye sikuwa nae, ingawa mwenyewe alipenda nimuite ma’mdogo. So nikawa namuita ma’mdogo Judy (sio jina lake). So hata nikiwa home na mom, akipiga simu mara zote alitataka tuongee pia, so mama alikua ananipa simu napiga nae stori.

Nikiwa kidato cha tano ndo mzee alirudi rasmi bongo. Na wala haikupita hata mwaka, Judy nae akarudi bongo. Akaniambia ameacha kazi ili ajikite kwenye biashara. Nikaona anafocus na maisha. Ila baadae nikajua aliacha kazi ili awe karibu na mzee, ingawa ni kweli alianzisha biashara na in terms of money, anafanya vizuri. Judy aliporudi ndo ukaribu na familia yetu ukaongezeka, weekend nyingi yupo na mama, au atanipigia simu niende kwake, hii hasa nlipoanza chuo. Cha ajabu mara nyingi mzee akisafiri, na yeye after few days utasikia anasema anasafari ya kibiashara.

Ukaribu na mama umekua Zaidi ya urafiki. Kuna kipindi mama alikua na matatizo flani, Judy alijitoa utadhani ni tatizo lake, ikiwepo kutoa pesa zake, kusafiri na mama mpaka India kwa matibabu ambako alikaa Zaidi ya miezi mitatu, mpaka waliporudi wote. So she is close to her.

Siku nilipohakikisha kuwa wana uhusiano, ni jioni ya siku ya Valentine’s day nikiwa mwaka wa pili. Judy alinipigia simu kuniuliza kama nitaenda kwake, maana nilishazoea kwenda sometimes bila hata taarifa. Siku hiyo kwa kuwa kesho yake nlikua na test, nikamwambia sitaenda, basi akanitania “au utakua kwa shemeji?”, nikamwambia hapana nina mtihani, akasema sawa basi ananiondoa kwenye share ya chakula cha jioni, nikamwambia poa.

Kumbe lengo la kunipigia simu ni ili kupata uhakika wa kumleta dad home kwake. Sasa mimi baada ya ile simu nikaanza kujisikia noma, kwanza Judy alishawahi nikuta angle mbaya na jamaa mmoja hivi, ingekua sio ajabu kama angekua kijana umri sawa na wangu, ila mkaka kanizidi miaka inayoonekana kabisa hahahha(hii ni story ya siku nyingine panapo majaaliwa), so wasiwasi wangu ilikua atahisi niko kwa huyu jamaa, alafu anaeza mwambia mzee. So nikachukua uamuzi wa kwenda.

Ilikua mida ya saa mbili usiku. Cha kwanza kuona ni gari ya mzee imepaki kwa nje, nikapiga simu haikupokelewa, bahati nzuri mlango wa kupita watu kwenye geti kubwa haukua umefungwa, so nikasukuma nikaingia, nje ya mlango wa mbele ya nyumba nikaona viatu vya mzee. Ingawa sikua na sababu ya kususpect chochote, maana inaweza kuwa mzee kaja na maza kumtembelea Judy, ila kuna ka hisia ka curiosity kakanijaa, sikugonga mlango, nikazunguka dirishani (mtanisamehe jamani), ingawa sikupiga chabo, ila sauti nilisikia. Nlichofanya nikarudi mbele ya nyumba nikakaa nisubiri wamalize.

Nlivyoona activities za sebuleni na jikoni zimeanza ndo nikagonga mlango. Kama kawaida wakajidai ndo kwanza mzee kafika, alipita tu kupeleka some documents na nini, I decided to go along with their story… So ingawa nimefahamu kwa muda mzee anatoka na Judy, ila ile kuconfirm ikanifanya nianze kujihisi guilty kila nikimuangalia mama. Nahisi kama na mm namsaliti vile. But nikaona ni busara kukaa kimya, akijua ajue mwenyewe. Ila nikapunguza mazoea na Judy, sana mpaka akawa anauliza kulikoni.

Sasa miezi michache iliyopita ndo wakaanza mipango yao ya kuinvest pamoja. Na sio investment ndogo, ni zile za ukitapeliwa unaua mtu. Yaani my mom ni kama ameweka all that she has.. ninachojiuliza, akijua huyu anayeinvest nae ni mke mwenza si atachanganyikiwa akili… moyo wangu unaniambia napaswa kuvunja huu urafiki wa kinafiki, ila pia mama hana rafiki mwingine aliye close kama Judy naona kama her life itakua boring hivi…..

Niliamua kwenda ofisini kwa Judy one day, nlimwambia najua anatoka na dad na nikamuomba aache kumsaliti rafiki yake…. Judy akakaa kimya kwa muda mrefu, nikaona kabisa maneno yamemuingia maana machozi yakawa yanamdondoka, akawa hawezi sema chochote ingawa nligoma kuondoka mpaka anihakikishie atamuacha mzee. Judy akawa ameinamisha tu kichwa hasemi kitu, nikaona hapa napoteza muda nikamuaga nikimwambia she should be ashamed of herself.

Baada ya siku mbili alinitafuta akaniomba tuonane mahali, sikua na haja ya kukataa. Tulikutana moja ya fukwe za kigamboni, baada ya kufika, tumekaa muda wala hasemi kitu. Nikataka kuondoka, akanizuia…

Ann mwanangu, najua ushakua mtu mzima sasa unaelewa kuhusu hisia za mapenzi, mimi na Paul tumependana kwa muda mrefu, na usione kama najitetea ujinga ila I really love him, he is my first man na sina haja ya kuwa na mwanaume mwingine. Nawaza kila siku kuhusu my future, ila I don’t see it without him….”

sijui nikueleze vipi uelewe, maana najua kama mtoto unamfikiria mama yako Zaidi, lakini believe me, I love your mom too, I respect her Zaidi ya rafiki ni kama dada yangu. Ingekua simuheshimu ungeshaona Ann, ila haitatokea kumvunjia heshima hata siku moja…. Mara nyingi nimekua upande wa mama yako hata pale Paul anapokua kinyume nae, sometimes Paul anataka kulala kwangu lakini mm ndo nimekua namgombeza na kumwambia aheshimu mkewe….”

“Najua ni ngumu kueleweka bt please usinihukumu kwa kushindwa kuzuia hisia zangu”


nikadakia, “sawa, lakini huoni unasaliti urafiki wenu, amekua best friend kwako and ulichoona ni kumchukulia mmewe, of all the men duniani ndo ukaamua kufall kwa Paul (nikajikuta na mm natumia jina la kwanza la mzee)”

Judy akaniangalia then akasema, “so unataka nifanyeje Ann, ndo nishajikuta this deep, ingekua mwanzoni mwanzoni labda ningeweza, bt mm na mama yako tumejikuta urafiki wetu unazama sana baada ya mm pia kuwa nishazama sana kwa paul, what should I do?”

jibu lilikua ni moja tu, “chagua moja Judy, be with my dad or be with my mom, you can’t have it both ways”…….

Judy akafikiria kama dkk tano nzima, then kikaona kafunika uso wake kwa mikono akaanza kulia tena, huku akisema kwa kurudiarudia “I cant, I cant, I cant………”

nikaona hapa natwanga maji kwnye kinu.

So guys, najua siwezi tenganisha mahusiano ya Dad na Judy, bt atleast mnaweza nishauri namna ya kumuweka Judy mbali na mama…. How do I do this?
Nimesoma stori zako siku mbili! Hongera kwa kupangilia na kuwa na kumbukumbu ya mlolongo wa yote hayo kama stori ni ya kweli!

Mimi sikushauri uingilie kati Jambo hili kama mtoto. Haustahili kabisa kufuatilia nyendo za wazazi wako. Kumbuka mama na baba yako ni wapenzi tena wa muda mrefu watakuwa wamevumiliana kwa mambo mengi sana na usikute mama anajua kinachoendelea na ameamua kupuuza maisha yaendelee. Unaweza ukajitolea kumwambia mama Jambo hili wote wakakukana wao wakawa kitu kimoja utakuwa kundi gani wewe? Utapewa laana ya wazazi. Unaweza pia ukamuua mama yako kwa presha kama alikuwa hajui na Jambo hili ikamuumiza! Lakini pia unaweza kusababisha ndoa ya wazazi wako ikavunjika ukubwani utakuwa umetatua nini? Kama wengine walivyosema waombee kwa Mungu ili mzee aachane na huyu hawara wake.
 
Maandishi yako yanaonesha hata wewe ni pisi moja kali sana. Na upo kama ifuatavyo.

Una nywele ndefu naturally nyeusi zilizofika hadi katikati ya mgongo kwa chini kidogo.

Ni mrefu wa wastani yani uko arround 5.8 hivi na ni mchanganyiko wa maji ya kunde na chocolate flani hivi.

Una tabasam moja tamu sana japokua sio mpenzi wa kutabasam mara kwa mara na meno yako ni meupe sana. It so amazing.

Hupendelei kudate age mates. Unaona kama wana utoto flani hivi na unaona hawana uwezo wa kukupelekea moto vile unataka.

Shepu yako iliyo jengeka vyema inakufanya upendelee sana kuvalia suruali za kubana na na high heels. Pia mara mojamoja huvaa sketi nyeusi zinazoishia magotini bila kusahau sun glass. You look so sexy.

Mara nyingi ukikaa unapenda kukunja nne huku ukitafuna big g na earphone kwa masikio. Hutaki shobo.

Ukipishana na mwanaume njiani unamkazia sana macho (unapenda kupima watu kama wako confident)

Una first degree ya kufanya blowjobs na kula denda.

Una unyayo laini sana hata ukikanyaga ugali haubonyei.

Una ngozi mtelezo na soft mno kiasi kwaba ukipigwa ba pinje ya bisi (popcorn) unavimba.

Una kamstari flani ka vuzi kamepanda hadi kwenye kitovu.

Unapenda wanaume wanaonyoa vipara.

Unapenda sana kumeza sperms za bao la kwanza wakati wa sex. I like it.

IN SHORT WE NEED TO TALK ME AND YOU IN HOLLY AND PRIVATE PLACE. SUGGEST ANYWHERE.
 
Mila za kiafrika,mwanaume lazima awe/amiliki mke/mwanamke zaidi ya mmoja....
we binti kanywe maji ulale.....muda wako ukifika utaamka usingizini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom