Silaha yake kubwa ni Ile right yake tu Ina supernatural power, ukiiepuka na ukapiga coz anajiexpose Sana waweza shinda, Ortiz Alishamuwin akajisahau tu akapigwa na Ile right akazima
Mzee Baba Usimzungumzie kabisa huyo mtaalamu Leon Goretzka,katika klabu anaweza asiwe vizuri ila timu ya taifa kazi yake ni nzuri katika kikosi cha kwanza national timu simuachi kabisa
"Kansigo, post: 15074720, member: 30697"]Chokochoko zote za karume, nia yake muungano uvunjike, wazanzbar ni wabaguz sana
Alikuwa na nafasi ya kuuvunja wakati alipokuwa rais kama ndo nia yake
Ni Yule Anayesoma Mwalimu Nyerere Memorial University nini?maana kuna kongamano fulani hivi la ITV tena nilikasikia kakitoa lugha chafu kwa Warioba kwamba anakaribia kufa aende kijijini tu akapumzike,hako kajamaa kanatokea Mara.
wangechangia pia na vijana 28000 waliokosa mikopo ya elimu ya juu kwa kisingizio cha bajet kufika kikomo,hata tungepewa milion 1 kwa kila mwanafunz ingesaidia mno
Pwani inahitaji mabadiliko ya kifikra na maono,bila kuitikisa serikali ya CCM kwa kuinyima kura tutabaki kuonekana shamba la bibi la CCM,na hivyo kutofanya lolote la msingii kimaendeleo.Mtwara na Lindi washajikomboa kutoka katika fikra mgando ni wakati wetu nasi wanapwani tujiondoe huko ili...
Mh. Stella Manyanya amekuwa akitumia jina la Engineer Stella Manyanya muda mrefu lakini amepata usajili wa bodi ya Uhandisi mwaka huu kama registered engineer and that is the same thing kwa Mbatia since he is a graduate engineer ana haki ya kujiita engineer coz ndo fani aliyohitimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.