Mi nimesoma nikaishia kujishangalia tu......
labda kama hana uwezo wa kutunza watoto peke yake incase mkaka akiingia mitini......
If I were her ningewasoma na kuwaelewa sana babu yetu Dark City na rafiki yangu The Boss (salama lakini)
Rafiki Kaizer endelea kutoa somo, kitaeleweka tu
Hongera sana kwa kupata mtoto.....
Watoto wanaonyonya vidole huwa wanakuwa wavivu sana kunyonya na hata kula, wanapokua. Na pia wanakuwa siyo wasumbufu, wapo comfortable na vidole vyao. kumdhibiti kuwa inakuwa ngumu kidogo.
Ulalaji wa tumbo huwa tunashauriwa sababu watoto huwa wana tabia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.