Recent content by Finoy

  1. F

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 26 na nina meno 10, mengine yote yameoza na kutolewa, nazeeka kwanza alafu utoto unakuja uzeeni

    Oh polee, mi ya mwanangu yanaota na kugongwa shda ni nini? Kwa wanaojua plz
  2. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

    Mchukue zari the boss lady ndani ya miaka 2 utakuwa na watoto 2 tayari
  3. F

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kununua gari aina ya IST new Model 2007/2008

    Wapendwa ndg zangu je Raum badget yake ya mafuta na spear ikoje? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. F

    JamiiForums Tanzania Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    Asante
  5. F

    JamiiForums Tanzania Ninetengwa na familia ,mke kanikimbia kisa message ya ushirikina

    Ukweli ht mi nimeshazipata zaidi ya 50 nami ni mtumishi wa Mungu. Anaowahadithia hawamwelezi Ukweli kwamba zipo tu mtandaoni? Na yeye siku akizipata mfululizo atakuelewa. We tulia acha kupanic
  6. F

    JamiiForums Tanzania IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

    Jibu ni 18, hapo vipi? Nimepata au?
  7. F

    JamiiForums Tanzania IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

    Naomba unambie kama nimepata au la nipite zangu hivi
  8. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jiepushe kuingia ktk mahusiano na wanawake aina hii.

    Mbona mi niliolewa Nina nyumba, gari na ajira wkt mume wangu hakuwa na chchte? Tulikaa kwake Kwenye vyumba 2 vya kupanga kwanza, baadae tukahamia Kwenye nyumba yangu ndo tukajenga ya kwetu. Huu ni mwaka wa 10 tunaishi
Back
Top Bottom