Ooh!!! kama ulikuwepo mkuu... Mechi ya fainali kati ya Ufaransa na Argentina ilikuwa ya kukata na shoka... Huku Mbape-the wonder kid, kule Lionel Messi8 the infinity unaweza kumwita hivyo kama unataka-mchawi wa mpira wa miguu yaani duniani na hata mbinguni... "the rest is history".
Kuna jamaa yangu alikuwa ananipa nyepesi kuhusu St. Francis mfumo wanaoutumia kuhakikisha wanafaurisha kwa division 1 pt 7 karibu wanafunzi wote. kwanza kigezo cha kuingia tu mwanfunzi lazima awe na ufaulu wa wastan usiopungua 95% kwenye Kila somo atakalopimwa. Mfano, maths, English, science...
Ooh jamani... Mungu amlaze mahali pema aisee... Alikuwa Mkuu wa shule wa ukweli sana, enzi hizo Mkwawa Complex... nakumbuka kauli yake siku moja tulipokuwa assemble J3 asubuhi, nanukuu "those who will not jump, they will jump home". Kauli hiyo ilitokana na mkwara wa General Secretary - Samwel...
Kama ana principal pass ya fizikia aende vyuo vya kati vya afya akasome CEO, pharmacy, Laboratory au Radiology...
NB: Advance apige chini huko hamna kitu zama hizi zaidi ya kupoteza muda na kupata sifa za kijinga tu ....
Mimi nilifanya ujinga huo nikaishia njiani, yaliyonikuta sitosahau, kamwe sitorudia huo ujinga... km mwanamke anaweza kukudharau ili hali ana elimu ya msingi/ F4 na hana kazi yoyote. vipi kama kasoma na ana kazi? japo siyo wote lakin tunakoelekekea karibu wote wanataka kufanana tu....
Umeandika ukweli. Lakini ukweli mwingine ni kwamba ndoa inapitia hatua za makuzi kama mtoto. Kwa hiyo pamoja na kufuata/ kufanya yote uliyoshauri haitazuia kupita katika hatua/ njia zake.
Na kwamba ktk hatua hizo changamoto haziwezi kukosa na hizo ndizo zitasababisha mwanaume kuwa PM na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.