Recent content by Fimbo ya Musa jr

  1. Fimbo ya Musa jr

    Biashara ya ufundi simu

    Uko mkoa gan? Nikuuzie vifaa
  2. Fimbo ya Musa jr

    Mrejesho; Biashara ya madini ya dhahabu... fourth season

    Ulijuaje jikoni umeibiwa gram 1 hadi ukaamua kusema hivyo?
  3. Fimbo ya Musa jr

    Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

    Ibun Sirin Amekimbia uzi....mbona hatoi majibu.
  4. Fimbo ya Musa jr

    Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

    miezi michache iliyopita niliota nina nimekua na hisa nyingi tu katika hospital ya kanda hapa Tanzania ili hali maisha yangu sijawa na uwezo huo..... Hii inamaana gani? ndoto nyingine niliota naokota dhahabu eneo la karibu na nyumbani kwetu kuna njia flani inapita afu pembeni kuna kunakichuguu...
  5. Fimbo ya Musa jr

    TANGA: Gari la Magazeti lapata ajali

    kwanini wasiwe na ofsi za kuprint kila mkoa yaani waandaaji wanatuma tu softcopy kwa njia ya email ili kuokoa gharama, muda na ajari.
  6. Fimbo ya Musa jr

    USHUHUDA: Kuna Waganga na Waganga njaa, huyu ni Kiboko

    yaani makaburini na chini ya mbuyu ulikua unalala peke yako usiku kucha au na mtu mwingine wa kukulinda?
  7. Fimbo ya Musa jr

    USHUHUDA: Kuna Waganga na Waganga njaa, huyu ni Kiboko

    Huyo mganga bado yupo?....make tuanzie hapo kwanza..
  8. Fimbo ya Musa jr

    Wafahamu macelebrity wa JF na sifa zao

    unamuachaje CHIEF MKWAWA
Back
Top Bottom