Mfumo wa CCM na serikali yake unashinikiza watu wawe wezi kama umevyoshurutisha kwenye escrow tegeta, uporaji nyumba za serikali, wanyama pori nk. Ili nchi ipone lazima mng'olewe makoloni meusi.
Yaaniii wanaboaje serikali ya CCM. Hapa nane nane area six Morogoro. Wanatupa umeme saa 7 usiku mpaka 12 asubuhi. Maji wanatupa Mara 2 kwa mwezi bili ikija not less than tsh 27000/- . Barabara ya kichangani nanenane makorongo yameharibu daladala mpaka daladala zinapungua kila siku. (Hawa CCM...
Kero hizi ni hapa Morogoro Manispaaa hapa area six. Barabara makorongo mpaka gari za nanenane- kichangani zinaharibika hivyo daladala zinakaribia kuachana na route hii. Chadema njoni kivingine mtusaidie "utumwa huu mpaka lini?"
Chadema chukueni Dora Karaha za CCM zimetuchosha. Yani tunataabika mtuonee huruma. Umeme hapa area six unawaka saa 7 usiku hadi 11 alfajiri wiki nzima. Maji kila mwezi naletewa tsh 27000 ila ktk mwezi yanatoka Mara mbili. Mungu tuokoe dhidi ya ukoloni huu wa CCM. Chadema tumikeni twafaaaa !!!
Mwl Nyerere alisema mtu aliekula nyama ya mtu hawezi kuacha. Zz alikuwa ndumila kuwili hawezi kuwa kwa nini walimchelewesha hali lishakunywa damu ya kijani ? Ushahidi wa kununuliwa na mafisadi ulitolewa bungeni zz kufisadi hivyo ataweza danganya wachache. Sumu anayolishwa na tawala hatuinywi kamwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.