Recent content by FIKRAANGAVU

  1. F

    Kikwete: Chanzo cha udini Tanzania hakijulikani

    Haiwezekani tuwe na Kiongozi wa nchi asiyejua kiini cha matatizo yanayowasibu 'watu wake'. Amefanya juhudi gani kutafiti hata aje na majibu marahisi rahisi kwa tatizo gumu. Laikini hata pale alipodai bila kulazimishwa na mtu kuwa anawajua wauza madawa ya kulevya, ni hatua gani aliwachukulia...
  2. F

    Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

    Mimi nadhani haya pia ni maendeleo. Kumbuka Chama anachokiwakilisha kinaitwa Chama cha demokrasia na maendeleo. Huwezi kuleta maendeleo katika nchi au halmashauri isiyozingatia demokrasia. Arusha imelalamikiwa kuweka meya bila kuzingatia sheria au demokrasia. Unadhani haikuhitajika kupigania...
  3. F

    Picha: Nassari akiwa na Lema kituo kikuu cha Polisi, Arusha

    Kama wewe ulivyoshikwa na chama kinachong'oa watu kucha!
  4. F

    Kuvamiwa kwa Lema: Maongezi yangu na RPC & Barua kwa Mkuu wa Mkoa Arusha

    Hawa wanaomsifu Mnyika kwa nini hawakuwahi kumsifia aliposema "tumefika hapa kwa udhaifu wa Raisi Kikwete..."? Ni wachonganishi au Wanafiki? Mtanzania wa kule Liwale anahitaji msomi au mtu atakayemtetea alipwe mazao yake kwa bei iliyo kwenye makubaliano? Kama Mnyika ni mfano mzuri wa Viongozi...
  5. F

    Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

    Kwenye nchi hii kukamatwa hakutegemei mtu kuwa na kosa la jinai. Kama ni hivyo Kamanda Kamuhanda angekuwa amekamatwa kwa kuwa tume ya haki za binadamu ilimuona amehusika katika mauaji ya Mwangosi. Akili ya kawaida inaweza kukutuma kuamini kuwa kushinda kwake ubunge na kauuli zake za hivi...
  6. F

    Kuvamiwa kwa Lema: Maongezi yangu na RPC & Barua kwa Mkuu wa Mkoa Arusha

    Pengine sababu ni kwa kuwa alisema anao ushahidi kuwa Raisi anaunga mkono vikundi vinavyochochea udini. Unadhani hilo limemfurahisha mkuu wa nchi na wasaidizi wake?
  7. F

    Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

    Nani anapenda mijadala hii iendelee na kwa manufaa ya nani. Hoja ni kuwa ipo tuhuma dhidi ya baadhi ya watendaji wa chombo hiki ambayo haipaswi kupuuzwa. Kuipuuza ni kukubali kuwa haki ya watu fulani kuishi itatawaliwa na utashi wa chombo hiki na hakuna anayepaswa kuhoji. Mwenye wajibu wa...
  8. F

    Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

    Jambo ambalo hawalisemi waziwazi ni kuwa je inawakera wanapoona vitendo hivi vya watu kung'olewa kucha, meno na macho? Hata kama wanaong'olewa si Dr. Slaa wala Mbowe hao waliotendewa hayo walistahili kutendewa? Kwa nini ikiwa wanakerwa na vitendo hivi hawajamuhoji Ulimboka awasaidie kutambua...
  9. F

    Sakata la kutekwa, kuteswa Kibanda: Maggid Mjengwa ahojiwa na Polisi!

    Ni ukweli ulio wazi kuwa Jeshi la polisi Tanzania limepoteza umakini na uhalali wa kushughulikia kadhia hii ya Rwakatare na wenzake kwa kuwa zipo kadhia nyingi zenye ushahidi wa kujitolea amabzo hawajazishughulikia wala kuzitolea maelezo yaliyosimama hadi leo. Sijui kuwa huu ni ujeuri wa Saidi...
  10. F

    Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

    Usije shangaa hili likaipatia umaarufu Chadema. Naanza kuiona kama ni movie iliyopangwa kila upande ukitaka kumwingiza mwingine matatani. Wasipocheza vizuri CCM watajikuta wamenasa kwenye mtego wa Chadema. Nani alijua Lema angerudishiwa ubunge baada ya kuvuliwa na mahakama? Katika mazingira haya...
  11. F

    Polisi wamkamata Lwakatare, apelekwa kwa mahojiano Makao Makuu

    Pengine kabla ya kuwalaumu Watanzania kijumla jumla ungejihoji wamefikiaje hatua hiyo ya kutoona tija ya hatua zinazochukuliwa na polisi. Polisi wamewafikisha watanzania hapo. Hawajafanya lolote juu ya tuhuma za waliomtesa Ulimboka zilizotolewa na Mwana Halisi, wala hawajui kinachoendelea juu ya...
  12. F

    Walimu kupongezana kwa matokeo mabovu ya wanafunzi ni uzalendo?

    Sijui lengo la hoja yako ni kumlaumu huyu mwalimu unayemtuhumu kuwa ni mjinga au unamlaumu aliyempa mwalimu mjinga jukumu la kuondoa ujinga. Kama kuna uwezekano wa mwalimu mjinga kupata ajira hapo tatizo si la mwalimu hasa bali ni la mwajiri. Na tatizo la mwajiri linaweza kuwa na yeye ni mjinga...
  13. F

    FaizaFoxy, Mwita25, MalariaSugu, Freedom Is coming... I am out of CCM

    Hoja yako imesimama. Mtu anahitaji akili ya mwendawazimu kukanusha hali ya kukatisha tamaa uliyoielezea. CCM inaweza kuzinduka usingizini kwa kufanya maamuzi magumu ili kionekane kinajali maslahi ya wanyonge. Wasingekuwa wanakwenda mbele na kurudi nyuma katika mkakati waliousanifu wenyewe wa...
  14. F

    Chadema yaamua kutimkia mikoani kutimua vumbi la mchakato wa katiba mpya

    Hakuna mapambano yasiyo na mkakati. Makamanda wa mikakati ya CHADEMA wapo CHADEMA hawawezi kutokea CCM. Hao wanaojinadi hapa kama washauri wa kile ambacho Viongozi wa CHADEMA wangefanya ili kufanikisha mapambano yao na hali hawaitakii jema CHADEMA wanawahadaa watu. Kama wana huo uwezo kama...
  15. F

    Kwanini Mwalimu Nyerere aling'oa reli ya Dar-Lindi, Mtwara, Nachingwea?

    Nyerere alifanya makosa mengi kama binadamu, makosa ambayo hata leo yangali yakifanywa na viongozi walioko madarakani. Moja ya makosa hayo ambayo wakati huo yalionekana kuwa na maana nzuri ni kung'oa reli ya Mtwara - Nachingwea. Reli hiyo ingeachwa ingeweza kuwa kichocheo kikuu cha maendeleo ya...
Back
Top Bottom