Jiulize wako wangapi kama yeye kwenye system, ndio maana unaambiwa hili gari linahitaji overhaul, wameoza jamani, kwa taarifa yako hayo uliyoorodhesha ni madogo tu, ndio maana hata chenge aliwahi kusema hivi nilivyonavyo ni vijisenti, halafu mkuu umesahau namba 22.
Ununuzi wa mapazia kwenye...