Naombeni kuuliza wana jf wenza wajuzi mnijuze tafadhali, je, inaluhusiwa waya wa umeme wa selves line kupita juu ya fensi ya nyumba na sio paa la nyumba maana naofia kuanza ujenzi wa fensi nisije kupata hasara.
Tambua ya kuwa hakuna utumwa mbaya kama utumwa wa fikra. Wewe ni nani ulipo toka wapi? Ulipo wapi? Na unapokwenda wapi? Hii ni atua ya kwanza ya kujitambua.
Mzazi ni tu hata awe vipi kunawalio zaliwa na malaya na leo ni waheshimiwa kuna walio zaliwa na wachamungu na leo ni wezi, mzazi ni mzazi tu angeamua angebana mapaja kwa tukio hili la kukuleta duniani ni moja ya kielele zo tosha cha wewe kumueshimu. Wapunzike kwa amani wazazizi wangu wote wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.