Recent content by Fidelis08

  1. Fidelis08

    Natafuta Mume

    Elimu ya maisha usilinganishe na elimu ya darasani kuna wenye degree alaf wanazidiwa elimu ya maisha na mtu ambae hajasoma degree ipo kwenye makaratasi tuu na elimu yetu ni ya kujibia mitihani haina uhusiano na uelewa wa maisha au uwajibikaji kwenye mahusiano na kwenye jamii tena vijana wasomi...
  2. Fidelis08

    Naombeni ajira(kazi) yoyote halali ya kufanya

    Ok sawa ndugu,shukrani[emoji120]
  3. Fidelis08

    Huduma ya kuziba meno nipaitapa wapi kwa hapa Arusha?

    Piga namba hii utapata msaada mzuri sana 0746 992 299
  4. Fidelis08

    Mtoto wangu kazaliwa na kilo 6 na tatizo la mdomo sungura

    Je mama yake ana kisukari?uzito mkubwa kwa mtoto wakat mwingine sio afya ila ni tatizo kwa mama katk kipind cha ujauzito kama kisukar au pressure na kupelekea mtoto kukua na kupata uzito mkubwa.
  5. Fidelis08

    Naomba ushauri wa kitaalamu: Alimeza P2 ila kashika mimba

    Hongera zake uyo mtoto amlee vizur
  6. Fidelis08

    Dawa ya Vidonda vya tumbo kwa ambaye amepona au anayeifahamu

    Kila siku tunauliza dawa ila watu hawaleti mrejesho wa dawa walizotumia
  7. Fidelis08

    Achana na Mwanachuo!

    Wwdada wakitanzania wakifika chuo ni ulimbukeni mtupu apo hakuna wa kuoa bora nikaoe darasa la saba failure
  8. Fidelis08

    Naombeni ajira(kazi) yoyote halali ya kufanya

    Sina taaluma yoyote mkuu,nipo mkoa wa arusha elimu yangu ni ya kidato cha sita tuu
  9. Fidelis08

    Naombeni ajira(kazi) yoyote halali ya kufanya

    Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 elimu yangu ni kidato cha sita.Naomba mnisaidie ajira yoyote ile ya kufanya itakayoniingizia kipato mimi napatikana arusha,natanguliza shukrani za dhati kwenu. Ahsante[emoji120]
  10. Fidelis08

    Nilisema Feisal Toto akitushinda hii kesi mniite mbwa

    Mbona wachezaji kila siku tunaona wanavunjiwa mikataba na timu zao bila ata kukaa pande mbili ila kwann iwe ngumu kwa mchezaji kuuvunja mkataba wake?
  11. Fidelis08

    Achana na Mwanachuo!

    Kiukweli wanawake wa chuo hawafai waupekeni mbali na kuwaoa labda ujitoe akili hasa hawa waliofika chuokikuu bora hawa wanaosoma certificate au diploma
  12. Fidelis08

    Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

    Vijana wa kuoa walikuwa zamani mkuu,sasaivi maisha magumu na usawa ulivyokaza mtu kuoa mpk avuke miaka 30 wazungu wao wanawah kuoa au kuolewa lakin ndo wanaongoza kuangalia porn
  13. Fidelis08

    Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

    Wakati wazungu ndo wanaongoza kwa izo porn haijalishi ni mtu mzima wala nini na kwao ni kitu cha kawaida,kikubwa ni malezi na utandawazi umeharibu jamii
  14. Fidelis08

    Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

    Kukojoa chini ya dakika moja sio tatizo tatizo lipo kwenye muendelezo baada ya kukojoa(refractory period) apo ndo tunapima nguvu za kiume mwingine akishakojoa tuu iyo ni majogoo[emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom