LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Hili tatizo nililonalo lilinitokea nikiwa na miaka 15 huko kijijini Singida niliteseka sana kwani wazazi hawakuwahi kunipeleka nikang'olewe maana yalikuwa kama magego 4 yote yametoboka hivo nikawa natafunia tu hapa meno ya mbele.
2017 katika harakati za maisha nikaibukia Kigoma nakumbuka mwezi wa tano hali ikawa mbaya sana maana nikila wali unaingia na kuniumiza, ndipo nilipoamua kwendo Maweni hospital kwenda kuziba waliniziba meno 5 namshukuru Mungu toka siku hiyo nilianza kutafunia sehemu zote mbili mpaka sasa ila kuna mawili nahisi hayakuzibwa vizuri japo hayaumi ila nataka nikayazibe tena nipo hapa Arusha anayejua wapi naweza pata hii huduma kwa ubora kabisa.
2017 katika harakati za maisha nikaibukia Kigoma nakumbuka mwezi wa tano hali ikawa mbaya sana maana nikila wali unaingia na kuniumiza, ndipo nilipoamua kwendo Maweni hospital kwenda kuziba waliniziba meno 5 namshukuru Mungu toka siku hiyo nilianza kutafunia sehemu zote mbili mpaka sasa ila kuna mawili nahisi hayakuzibwa vizuri japo hayaumi ila nataka nikayazibe tena nipo hapa Arusha anayejua wapi naweza pata hii huduma kwa ubora kabisa.